Habari mimi ni mkaazi wa Moshi- Kilimanjaro sina umeme leo siku ya tatu nilisharipoti zaidi ya mara sita bado tatizo langu halijapata ufumbuzi, hata sasa hivi ninavoandika nimetokea Tanesco wamesema watakuja kutengeneza lakini mpaka sasa sioni dalili ya wao kufika hapa. Mita namba yangu ni...
Mkuu tatizo tulilonalo watanzania wengi ni fixed mindset including you ( sory if I'm so harsh). Ukitaka kubadilika hutakiwi kusubiri the perfect time bali you have to make the time perfect to start out something, hivi unahisi hatuna chama kinachoweza kushika dola na mambo yakaenda sawa? Ndio...
Live forever by Tatiana, huu ni wimbo bora kabisa kwangu na huwa sichoki kuusikiliza nakushauri uutafute pia jitahidi uelewe anamaanisha nini. Karibu tuusikilize utanishukuru baadae.
Mkuu kujitolea kwa lengo la kubembeleza ajira ni ujijnga, kama kweli unaithamini elimu yako uliyoisotea miaka mingi huwezi kufundisha for free huku ukitegemea huruma ya wanasiasa. Huu ni mwaka wa nne toka nimalize chuo nipo kitaa napambana hakuna kazi sijawahi fanya, nimejifunza mengi huku...
Mkuu achana na mambo ya mungu na illusion kama uokovu etc. Tafuta mwanamke ANAEJITAMBUA full stop. Kanisani sio mahali sahihi pa kupatia mke/mme hawa watu ni wachafu kuliko unovyofikiri (sio wote). Mark my words utanishukuru baadae.
Mkuu jaribu kufuatilia historia ya huyu mama, hayuko hivyo unavyofikiri amejitahidi sana kupambania haki na maisha ya raia hasa wa myanimar ndio chanzo cha yote anayopitia.
Safi sana mkuu, sisi ndio tunapaswa kuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya elimu na sio kusubiri mtu atoke nje ya nchi kuja kutufundisha namna bora ya kujifunza na kufundisha. Nakucheki mkuu tuexchange ideas.
Mkuu ni kwamba shida ipo kwenye approach jinsi tunavofundisha watoto wetu ni tofauti kabisa na wao wanavyofundisha watoto wao, wame-base katika practical zaidi kwa sababu wana-facilities kama Maabara kwa ajili ya masomo ya sayansi na Computer labs, vyote hivi vimewezeshwa na serikali zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.