This Mwanakijiji is useless!
Kwa kuongezea kwenye hoja ya character X hapo juu, a real leader has three grand characters:
1. Power to influence
2. Ability to envision
3. Ability to tap on to insights.
Kama mwanakijiji ni leader basi anakosa sifa namba 2 na 3.
To envision means to see by...
So waliowatangaza kuwa ni mafisadi ndio pekee wanaoweza kuwasafisha.
Sasa nyie nagamba kelele za nini..?
Vueni kwanza magamba yenu..tuwape magwanda.
La mnyamaze kimya...ebo!
Umemaliza kila kitu. Siwezi tena kusema!
Cha msingi nasisitiza tu watu waelewe siasa. Cha msingi kwanza ni hili simwi kuliondoa. Ndo kazi tuliyonayo kwanza bila kujali sana.
After all, kama Lowassa ni fisadi hakuna haja ya kuandikia mate na wino ungalipo; ithibitishwe na afikishwe mahakamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.