Ndugu zangu Jpm alitangaza watanzania tuache siasa maana sasa ni kazi tu kwa kauli yake ya hapa kazi tu lakini ccm wanaonekana kubeba mzigo Wa mgogoro Wa CUF kwenye mikutano ya ndani na nje anayoendelea Nayo mwenyekiti Wa CUF anayetambuliwa tu na msajili Wa vyama vya siasa mikutano yake...
Special education unaweza kufundisha hata shule za kawaida ni uoga wako tu tafuta shule hata private upige temple ukikaa unadubiri ajira hadi mwakani july
Acheni kuitazama Tanzania kama ndo marekani ya Trump tunasubiri Tanzania ya viwanda 2015-2020 kama wewe ni mchumi there is no industrial revolution within five years tusidanganyane acheni kusifusifu tusubiri miaka mitano ya viwanda tuone
mimi ni mwalimu idara ya sekondari nipo halmashauri ya tarime kwa yeyote anayetaka kuja tarime mi niende magu mkoa wa mwanza tuwasiliane kwa 0767045100 au 0789045100 Ahsanteni.
chadema tarime tunasikitika kwa kumpoteza kamanda shupavu mwenyekiti wetu wa cdm kata ya turwa jimbo la tarime aliyefariki usiku wa kuamkia leo mungu ailaze roho yake mahali pema.
Kwa taarifa za majonzi nilizopokea mda si mrefu kutoka kwa katibu wangu wa chadema kata ya turwa jimbo la tarime ni kwamba mwenyekiti wetu wa kata ya turwa ameaga dunia usiku wa kuamkia leo nawapa pole makamanda wote wa chadema jimbo la tarime na familia yake kwa ujumla kwani tumepata pigo ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.