Wahuni ni wale miaka zaidi ya sitin wanahadaa wananchi na hao wanaomfata makonda ni wapumbavu na hawajielewi huyo makonda amemsaidia nan mbali na maigizo.
Ccm ni lichama la kipumbavu linalohitaji wajinga kulichagua eti leo bashite anazunguka kuhadaa wajinga kama yeye huku bunge zima ni ccm ni mpumbavu pekee wa kuyachagua matapeli ya ccm.
Kwamba chadema inaongoza nchi au hujui tofauti kati ya hao uliotaja na chadema kwa taarifa yako pamoja na ujinga wako ni kwamba huko ndio democracy imekita mizizi kama Rais analalamika sio Rais kuunkuund
Ccm imejaza wajinga ndio maana mnaona makonda/bashite kwenu ni dili, muulize huyo Makonda toka aanze maigizo yake kwanini umeme kila siku unakatika, kwanini bei ya sukari iko juu, kwanini akina mama wanaenda na vifaa vya kujifungulia hospital.
Wewe chawa wa makonda mwambie huyo makonda kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.