Sio kweli story hizo. Niko Njombe na tumefanya mazungumzo na wahusika kwa kukagua hizo box. Hakuna kura ni only tshirts zilizomo kwenye hizo box. Ningeweka sauti ya mahojiano but sina utaalamu huo hapa JF
Kiranja wa zamu na fisiem ndo wenye baraka na chochote anafanya yule domo. Msanii akiomba mafuriko wanaangalia tu ila aombe kiongozi wa upinzani hata kwenda hospital wanapanic. #getangry
Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme...
Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme...
Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.