Recent content by DavidKing

  1. D

    Zitto akirudi bungeni Oktoba, nitatembea kutoka Kibaha hadi Posta

    Kaptula la Marx umefika wap saiz?
  2. D

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Kutok IRINGA MJINI Mchungaji Msigwa anaongoza kata 18. Mwakalebela mdogo mdogo kurudi mtaani.
  3. D

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    NEC watatoa mjumuisho wa matokeo ila haya ya vituoni ruksa kuyaweka wazi
  4. D

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kwan maana ya kubandika matokeo kwenye vituo ilikua itoe tafsiri gani?
  5. D

    Njombe - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Njombe Mjini kata 9 CHADEMA wanaongoza kwa nafasi zote tatu. Makete CCM inarun
  6. D

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Njombe matokeo ya awali kwenye kata 9 Eddo anarun.
  7. D

    'Inadaiwa' Gari la kura fake lakamatwa Njombe ikielekea Mtwara

    Sio kweli story hizo. Niko Njombe na tumefanya mazungumzo na wahusika kwa kukagua hizo box. Hakuna kura ni only tshirts zilizomo kwenye hizo box. Ningeweka sauti ya mahojiano but sina utaalamu huo hapa JF
  8. D

    Lowassa will never win says South Africa

    Hata KANU wakati inaanguka ilikua hivi maneno meengi!! Lakini hawapo leo.
  9. D

    Lowassa will never win says South Africa

    South africa wanahusika na kura?
  10. D

    Maandamano ya msanii Diamond

    Kiranja wa zamu na fisiem ndo wenye baraka na chochote anafanya yule domo. Msanii akiomba mafuriko wanaangalia tu ila aombe kiongozi wa upinzani hata kwenda hospital wanapanic. #getangry
  11. D

    Watani zangu mtamaliza maji bure kudeki barabara

    Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme...
  12. D

    Ipi ilikuwa nafasi ya Juma Mwapachu ndani ya CCM?

    Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme...
  13. D

    Program Note: OZ - Afya ya Lowassa kwa Sasa Siyo Hoja? Will blow your mind...

    Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme...
Back
Top Bottom