Watani zangu mtamaliza maji bure kudeki barabara

Watani zangu mtamaliza maji bure kudeki barabara

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,079
Reaction score
12,307
Uchumi wa kanda ya ziwa ulijengwa katika biashara ya Pamba kwani kimsingi kanda ya ziwa ina mvua chache na pamba hustawi katika hali hii ya hewa.

Sio lowassa wala Magufuli hakuna anayezungumzia kufufua zao la pamba na kuweka usimamizi thabiti wa zao hili.

Wakati wa mkoloni pamba iliitwa ''white gold'' Tanganyika ilikuwa moja ya nchi wazalishaji wakubwa wa pamba duniani.

Leo hii stoo za pamba zimekuwa makanisa ya walokole na kumbi za video.

Kiwanda cha kasamwa kimegeuka kambi ya FFU. Makampuni ya kununua pamba ya copkot carlgil nyanza shirecu hayapo tena.

Vijana hawalimi tena pamba wanaendesha bodaboda na kupiga debe stendi.

Akija Lowassa mpo akija Magufuli mpo wala hamueleweki, mumekuwa majuha kuliko kalumekenge.

Mnadhani munawakomoa kumbe A na B zote sawa. Munaahidiwa kujengewa viwanda wakati hata umeme wa kumulikia shuka hakuna ila nasikia munajengewa vya kusindika ngozi za ng'ombe.

Munauza mashamba ya baba zenu munanunua bodaboda nazo haziwatoi ngoja muone mtaelewa somo tu.
 
Gamba hilo limepita mlipuuze tu
Gaddafi ni Rais wa Kuwait



swissme
 
Imefikia hatua watanzania kila kitu lawama ccm.
Hawafanyi kazi wanahujumu mali ya umma lawama ccm
 
Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme tu umewashinda pamoja na kua na vyanzo vyote. Kwasasa tunategemea mitambo binafsi kuzalisha umeme ambao ni MW 382 wakati mahitaji ni MW 1780.
 
Uchumi wa kanda ya ziwa ulijengwa katika biashara ya Pamba kwani kimsingi kanda ya ziwa ina mvua chache na pamba hustawi katika hali hii ya hewa.

Sio lowassa wala Magufuli hakuna anayezungumzia kufufua zao la pamba na kuweka usimamizi thabiti wa zao hili.

Wakati wa mkoloni pamba iliitwa ''white gold'' Tanganyika ilikuwa moja ya nchi wazalishaji wakubwa wa pamba duniani.

Leo hii stoo za pamba zimekuwa makanisa ya walokole na kumbi za video.

Kiwanda cha kasamwa kimegeuka kambi ya FFU. Makampuni ya kununua pamba ya copkot carlgil nyanza shirecu hayapo tena.

Vijana hawalimi tena pamba wanaendesha bodaboda na kupiga debe stendi.

Akija Lowassa mpo akija Magufuli mpo wala hamueleweki, mumekuwa majuha kuliko kalumekenge.

Mnadhani munawakomoa kumbe A na B zote sawa. Munaahidiwa kujengewa viwanda wakati hata umeme wa kumulikia shuka hakuna ila nasikia munajengewa vya kusindika ngozi za ng'ombe.

Munauza mashamba ya baba zenu munanunua bodaboda nazo haziwatoi ngoja muone mtaelewa somo tu.

Ntwara kucheee!
 
Km ungekuwa na uwezo wa kudadafua mambo usingesema hivo hutofautiani na watu wanaosema raisi haleti maendeleo nyumban kwako
 
Mkuu mbona Magufuli alizungumzia pamba akiwa geita ???Tatizo hamuwasikilizi wagombea mnasubiri waandishi wa habari.
 
Magamba walitamani hao vijana wamdekie magufuli ili wajisifu. Malofa wakionyesha ubora wao inawauma nini?
 
Kuna watu vichwa vigumu sana. Hivi wanaoitetea CCM wanakumbuka kwamba miaka 38 ya utawala wake bado. Maji shida, umeme shida, madawa hospitali hakuna, rushwa kila kona. Bado wanaiona ni ya jana jana, mbaya zaidi ni pale wanaposema ccm ni ile ile i thought kwa kusema hivyo mtakumbuka kuwa umeme tu umewashinda pamoja na kua na vyanzo vyote. Kwasasa tunategemea mitambo binafsi kuzalisha umeme ambao ni MW 382 wakati mahitaji ni MW 1780.

mipango ya hovyo ya lowasa na fitina za chadema ndo vimetufikisha hapa tulipo, yule mpangaji wa ndesamburo asingeingizwa tanesco ingekuwa tofauti, akamleta jamaa yake dr.rashid akapanga safu yake ya akina badru masudi shirika likafa akakimbia ofisi kukwepa lawama.

Muhongo kajitahidi kuweka mambo sawa katuma vijana wake kumshambulia, tunaondoa profesa wa madini tunaweka mpigadebe tukikosa umeme tusishangae.
 
Back
Top Bottom