Recent content by David93

  1. D

    DIPLOMA YA LAW NA DIPLOMA YA JOURNALISM

    Sawa son ila kwanini bora diploma in law kaka et
  2. D

    DIPLOMA YA LAW NA DIPLOMA YA JOURNALISM

    Stashahada ya sheria na stashahada ya uandishi wa habari(DIP YA JOURNALISM NA DIP YA LAW) Asalaam alykhum/Tumsifu yesu kristo/Aleyuyah Wakuu napenda kujuzwa juu ya hizi stashahada mbil tofaut hapo juu ipi ni nzuri kuendana na hal ya sasa kiuchumi nikiwa na maana kwenye soko la ajira kama...
  3. D

    Naomba kujuzwa kuhusu University of Morogoro

    Asalaam alykhum son kheri Mi mwanafunzi wa MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGORO almaarufu MUM dah kama umechagua kua mwanafamilia wa hapa bhasi upo sehemu sahihi sana 0653684189 ndo namba yangu niflash nikupe details nyingi kuhusu hapa usijal jina langu DAVID EMMANUEL
  4. D

    Vyumba vya kupanga Jordan-Moro

    Mimi nimepata MUSLIM UNIVERSITY ila naitaji maeneo ya msamvu utanisaidiaje
  5. D

    Arusha Institute of Accountancy: Msaada tafadhali

    Duuh son ulikua wap nadhani leo ndo mwisho saa kumi alhasiri na kma application form unazipata hapa www.iaa.ac.tz minimum entry requirements zao ni THREE passes(3 D's) na maelezo zaid web yao hiyo mdaa bado
  6. D

    Alama mpya za ufaulu kwa Sekondari

    Duh Three Ds za physics,chemistry, biology zitakua nyingi form 4 mwakan??? mmmh Mama ndalichako wewe
  7. D

    NACTE yazindua Udahili wa Masomo ya Juu 2016/17

    Ahaha son hujasoma full details wewe si wamesema wanaanza leo tarehe 4 saa 6 mchana ndo itakua open
  8. D

    DON'T GIVE UP!! THERE WHERE A WILL,THERE ARE WAY

    PIA WAZO ZURI KAMA BADO WANARUHUSU KUUNGANISHA CREDIT KAMA ILIVYO MIAKA YA ZAMAN LAKIN KWA SASA SINA UHAKIKA KAMA BADO IPO HUO MFUMO KWAN NASIKIA KWA MIAKA YA HIVI KARIBUNI UKIRESET CHET CHAKO CHA NYUMA KINAFUTWA NA KAMA UNARESET BHAS UNACRUSH MASOMO YOTE HIVYO JE HUYO MTU ARESET MASOMO YOTE NA...
  9. D

    DON'T GIVE UP!! THERE WHERE A WILL,THERE ARE WAY

    SHUKRANI SON WATAKUWA WAMEELEWA KAKA "If you think education is expensive,try ignorance"asante kaka
  10. D

    DON'T GIVE UP!! THERE WHERE A WILL,THERE ARE WAY

    Habari zenu wanafamilia wa #JF matumaini yangu ni wazima wa afya kabisa namshukuru mungu mi ni mzima wa afya. *Haya matokeo ya kidato cha nne ndiyo hayo yametoka!!hamu juu ya kila mtu kujua nini amevuna na kipi alichofanya ndani ya miaka minne kila kitu hadharani,sasa nikiwa hapa JF ndo mpango...
  11. D

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

    AHAA SI MBAYA SON ILA ANAHITAJI KUSOMA THT Y NIKATAKA USHAUR SIO MZAHA KK INSHU CERTIFICATE IPI NA CHUO GAN
  12. D

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

    PLZ MAWAZO JUU YA JANJA HUYU CERTIFICATE YA JOURNALISM NA LAW INAMRUHUSU KWA STAIL HII NA VYUO GANI NA KAMA UNA CERTIFICATE NYINGI MSAIDIEN KUMJUZA CIVIC"D" KISW"D" GEO"D" ENG"D" MATH"F" BIO"F" B/KEEPNG"F" COMM"F" HIST"F" DIVISION 4 YA 31
  13. D

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

    DOH MA SON DOGO LANGU MSAIDIENI HUYU ANA DIVISION 4 YA 31 CIVICS "D" KISWAHILI"D" GEO"D"ENGLISH"D"BIOS"F"B/KEEPING'F"COMM"F"HISTORY"F"MATH"F" HUYU VP CERTIFICATE GANI INAMFAA KURISIT HATAKI? MAWAZO PLZ
  14. D

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Duh ufafanuzi mzuri lakini hii ni kwa wale waliomaliza miaka 2012 kurudi nyuma kwa mfumo wa DIVISION.swali je kwa wale wa miaka 2013,2014 na 2015 kama watatumia GPA je sifa ni hizi hizi au
Back
Top Bottom