mbona watu tumejenga nane nane na miaka yote hatuteseki maji, kubali mgao inapobidi ndio hali halisi ya mijini.kuweni makini na matapeli wa vyumba! Nane Nane yote haina maji, shida kubwa sana ya maji maeneo hayo, tafuteni nyumba mitaa ya kola au kilakala na forest huko maji uhakika!
Habari!
Je umechaguliwa chuo Jordan? Ungependa kupanga chumba? Usijali vyumba vipo vyenye hadhi ya wanafunzi wa vyuo kwa bei nzuri!
Nicheki kupitia 0762494688 tukutane nkakuoneshe chumba!
Forest uzunguni bwana- vyumba hamna.kuweni makini na matapeli wa vyumba! Nane Nane yote haina maji, shida kubwa sana ya maji maeneo hayo, tafuteni nyumba mitaa ya kola au kilakala na forest huko maji uhakika!