Recent content by David11

  1. D

    Natafuta kazi

    Nini Elim ya kidato cha nne nahitaji kazi kwa mwenye kazi
  2. D

    Msaada kuhusu gmail

    Nimeshajarib kufuata maelekez hay imeshindikana
  3. D

    Msaada kuhusu gmail

    Wakuu nisaidien hpo Kila nikijarib kufungua inaniandikia hiv hat nikiwek vocha kwenye lain yangu
  4. D

    Msaada kuhusu gmail

  5. D

    Msaada: Simu yangu haitoi sauti mpaka niweke lound speaker

    Habari wakuu samahani simu yangu inatatizo nilikuwa naomba msaada. Ninapompigia mtu au ninapopigiwa simu haitoi sauti mpaka niweke lound speaker tatizo ni nini na ni jinsi gani ya kulitatua yaani nikiweka lound speaker ndo nasikia.
  6. D

    Nitapata nafasi kwenye kozi niliyoomba kwa ufaulu huu?

    Kwan serekali Hawa kuwa na akili kuwek hich kigez Tulia saw Sina uwez ila achan na mm saw jua maisha yak
  7. D

    Nitapata nafasi kwenye kozi niliyoomba kwa ufaulu huu?

    Hakuna aliyeandikiw kufel maisha ni kupamban na kumuomba mungu huwez jua najiamin nin saw bro kaa kwa kutulia kma huna point
  8. D

    Nitapata nafasi kwenye kozi niliyoomba kwa ufaulu huu?

    Nimepata Phy D Math D Chem C Na jumla ya ufaulu nin two ya 21 na nimeapply DIT kozi ya electrical engineering na mechanical engineering je nitapata nafasi kati ya hizo MSAADA WA MAWAZO WAKUU AHSANTENI
  9. D

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Electrical and Biomedical Engineering

    Ndo maan nikauliza unaweza kukuta ukifika chuo ni coz moja tu Kam ni biomedical tu
  10. D

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Electrical and Biomedical Engineering

    Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
  11. D

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya Electrical and Biomedical Engineering

    Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering. Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla. Ahsanteni
  12. D

    Ushauri: Rangi za Bendera ya Taifa zifutwe katika sakafu za ndani ya Bunge

    Huy anayeon Kam ni rang tu bas azipak kweny nyumba yake kama anaon hazin maan zikiw Kam rangi tuone kama atamaliza wiki
Back
Top Bottom