Recent content by david williard

  1. david williard

    Mke wangu amejiunga na kanisa la 'kiroho' na inapelekea kutugombanisha; naomba ujanja wa kukabiliana na tatizo hili

    Kaa naye chini kwa upendo, msikilize kwa uvumilivu wote kwa nini anafanya vile. Mwambie uko tayari kumpa Uhuru amwabudu Mungu anavyopenda lakini arudi nyumbani saa unayoitaka wewe. Kuna watumishi hawajali kabisa ndoa za waumini wao wanaendesha ibada mpaka usiku na wanasisitiza watu wasiondoke ...
  2. david williard

    Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), tarehe 3/3/2018 kuandamana kumung'oa Mwigulu Nchemba

    Mna wazo zuri lakini siyo sahihi, ni uchizi. Mwigulu ni nani? Andamaneni Rais wa aondoke
  3. david williard

    Labda anayosemekana kuyasema TB Joshua kuhusu Tanzania ni kweli

    Hivi jamani kukaa kimya kwa jambo usilolijua ni bei gani? Wengine mnapenda kukashfu mambo ambayo hamyajui, mnajitafutia laana bure na vizazi vyenu. Ukinyamaza nayo ni hekima! Mpumbafu ni mjuaji wa kila jambo naye anajibu kila kitu. Huyo TB Joshua akitabiri jambo hafanyi kwa matakwa yake, kwani...
  4. david williard

    Yaliyojiri: Uhesabuji Kura na Utangazaji Matokeo katika Chaguzi Ndogo kwenye Kata 43 - Novemba 26, 2017

    Wewe na hao wengine mnafurahi sasa, mnachekelea udhalimu huu ; ni suala la muda tu, mtalipa Hayo
  5. david williard

    Musoma: Mkuu wa wilaya apiga marufuku mikutano ya injili bila kibali kutoka kwake

    Nyie ndo wanafiki mnaokesha kwenye mabaa na mamiziki makubwa, lakini mnalalamika kelele za spika ndogo tu za walokole wanapofanya Ibada zao. Vigodoro na kelele zote hatusikii mkilalamika humu. Unafiki tu unawasumbua! Tatizo hapo sio speaker, ni mapepo yaliyo ndani yako yanaudhika! Achana na...
  6. david williard

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Hivi uzalendo unaosemwa ni UPI? Mtu anayeshabikia Kiongozi mkuu wa nchi anazidi kuwagawa wananchi kwa misingi ya vyama huyo ni mzalendo? Hivi kuchochea chuki na kukandamiza haki na Uhuru wa watu katika nchi yao wanaopewa na katiba yao, huo ni uzalendo? Hivi ukishakuwa umeshika madaraka tu wewe...
  7. david williard

    Evarist Chahali na ripoti ya kiuchunguzi kuhusu Tanzania ya Magufuli

    Kushuka gharama za vitu mmmm!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. david williard

    Must read !! For all kenyans and Tanzanians

    Wewe, ukweli ni 40% tu, mengine ni kutokujua undani Wa jambo analosifiwa. Hata hivyo anastahili pongezi, amejitahidi lakini ana mapungufu makubwa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. david williard

    Utajiri wa wachungaji Rwakatare, Gwajima, Mwingira na Mzee wa upako na uhalisia wa makanisa yao(Majengo ya kuabudia)

    Kwa hiyo unataka waende kwenye dini ya Allah ya umaskini! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. david williard

    Wazo: Ianzishwe kampeni changia Lissu kadri anavyokaa mahabusu

    Hiyo ni akili ya upambanaji kweli. Nimeipenda Sent using Jamii Forums mobile app
  11. david williard

    Tupeni ushauri kuhusu uchaguaji wa vyuo vikuu na facults kwa sisi wahitimu wa kidato cha sita

    Unaweza hudhuria darasa LA bure ukonga Mombasa Relini ukumbi Wa Saccos tunawasaidia bure wanafunzi kutambua jinsi ya kuchagua unachotaka kusoma Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  12. david williard

    Kama kuna mwenye kufaham namna kubadilisha combination

    Jambi LA kwanza he amesoma sayansi? Maana combination ya EGM ni ya biashara zaidi na ile ya CBG ni ya sayansi. Kama ana uhakika amefaulu hayo masomo ya sayansi hayo ya CHEMISTRY, BIOLOGY, NA GEOGRAPHY basi akifika shule aliyopangiwa ndiko mnaweza kuanzia kufuatilia nia ya kubadilisha...
Back
Top Bottom