Recent content by David Malima

  1. David Malima

    Flyover na Fedha za World Bank: Kipigo kingine kwa Tanzania

    N a wewe ni tatizo au una tatizo kichwani mwako, unamponda mwenzio kisingizio UKAWA wakati wewe mwenyewe unafikiria km funza? Sasa lini tajiri akaomba kukopa? mimi najua tajiri kajitosheleza hivyo labda yeye ndo akukopeshe. Matajiri wa TZ katika ubora wenu..............:(:(:(:(:(:(
  2. David Malima

    Utumbuaji Kanisani: Magufuli ni mkatoliki asiyejua "Roma locuta, causa finita"!

    Na wewe unajua kukalili tu haujui vizuri, kwanza tambua kanisa Catholic linaongozwa kwa kauli mbiu ya UTII NA UNYENYEKEVU. Hilo ni la kwanza, pili Baraza la walei linasimamia Rasilimali kama ulivyotangulia kusema ila sio michango wala sadaka na hata zaka, kama wangekuwa wanasimamia hayo, hayo...
  3. David Malima

    Trilioni 1. 05 (Tshs) za MCC kwa Tanzania ilikuwa ndoto ya mchana

    That is what Tanzanian people we need? Tunashabikia vitu bila kutafakari, hata mtoto akizaliwa akawa na akili nyingi haimaanishi ashindwe kufuata taratibu za kijamii au familia kama kuna makubaliano. Hatukatai Tanzania tuna utajiri mwingi, ila je? Huo utajiri kuanzia leo hii uko tayari...
  4. David Malima

    Mwenye CV ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam aiweke hapa

    CV ya Dr Masaburi ilisaidia nini? Hata nyie mnaouliza CV za wenzenu yaweza kuwa haziwasaidii muhimu ni umakini kwani hata kama hana CV ndeeeefuuu ila akawa na uwezo wa kuielewa mikataba kwa lugha zote inatosha kwani yeye km Meya kazi yake kubwa ni kusimamia utekelezaji wa maazimio na mikakati ya...
  5. David Malima

    Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

    Mi sijaona jipya zaidi ya watoto wa Lumumba na Bk7 zao kujitekenya na kujichekesha wenyewe kwani mwenye kusema ukweli ni Ngoda na Funza tu hao wengine ni sawa na mashua, bila upepo kuvuma haiendi. Sio Slaa wala Mwengine yeyote, mwenye-kuitesa CDM ni Mungu pekee kupitia wapenda haki tu si...
  6. David Malima

    Mjadala wa Katibu mkuu mpya CHADEMA wateka nchi

    Shut your mouth stu***pid. Mambo ya kumuita Slaa eti Padre ukome, huwa unaenda anakuungamisha kwake au wewe ndiye katekista unayemsaidia kuandaa vitu vya misa? mpuuzi!! Afu chadema sio familia yenu ya mazuzu kaa kimya ukamuliwe
  7. David Malima

    waziri wa magufuli ahusishwa chadema

    Huyo atatuongezea namba just wait you can see what happen
  8. David Malima

    The dark side of JPMagufuli

    Wewe poyoyo na akili zako umeona anazungumzia vitu vidogo sanaa..!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yanakuja kutokana na muunganiko wa serikali kuu na serikali za mitaa ambazo ni halmashauri zinazoongozwa na mameya au wenyeviti wa halmashauri. Sasa authority ya Meya...
  9. David Malima

    Magufuli vs Majaliwa yupi mtumbuaji hodari?

    Wee ni mburula kweliiiii!!!!!!!!!!!!!!,..... Wasomaji wa Mawio wanajitambua kwani mlikuwa mnapigiana kampeni mara Januari mara Lukuvi lkn sisi tulikuwa tukisubili mfanye yenu kwani hambadiliki ila swala la muda tu. Time will tell.
  10. David Malima

    ZEC: Hakuna Chama wala Mgombea aliyejitoa kwenye Uchaguzi wa marudio Machi 20

    Weee Bwege kweeeli weweee!!!!!!!!!! sio wewe uliyekoti hadi vifungu vya kisheria? unajifanya fahamu hazimo sio? kama ni kosa au kutafsiri sheria mhusika ni Hakimu/Jaji. Kama ulivyonukuu vifungu vinginevyo hapo mwanzo, Kazi ya tume kupitia mwenyekiti au makamu wake ni kutangaza tu matokeo ya...
  11. David Malima

    Meya Kinondoni: Makonda punguza Sifa, Fuata Taratibu

    Ni kweli Mungu hawezi ongoza wapiga deal tena wapambe na mateka wao hawajui nini nafasi wala uongozi,!!! Uwakilishi wala Uwajibikaji,!! wanabaki kishabikia na kudandia wasiyoweza hata wakipewa kama Makondo ahaaa Makonda na hawana hata chembe ya uelewa hata angeongea mjuzi wa kuelewesha. Kwa...
  12. David Malima

    ZEC: Hakuna Chama wala Mgombea aliyejitoa kwenye Uchaguzi wa marudio Machi 20

    Ila inatakiwa wapuuzi km hawa mmoja wao acho**mew*ee ndani ya nymba yake hadi aive ndo iwe fundisho kwa wahafidhinah kama Jechaa S. Jwecha
  13. David Malima

    Meya Kinondoni: Makonda punguza Sifa, Fuata Taratibu

    Km Mayor ni jipu wa kulitumbua ni waliolichagua kwani hatokani na chama cha Waziri mkuu, vinginevyo Waziri mkuu afute Halmashauri ya Kinondoni kulingana na sheria zinavyotaka kwa kosa sahihi na halali lililofanywa na Halmashauri kupitia Baraza la madiwani upooo??? Au mkodi Baraza la madiwani...
  14. David Malima

    Meya Kinondoni: Makonda punguza Sifa, Fuata Taratibu

    Ni kweli wataamgukia pua km safari hii kwani wabunge 70 hadi 106? wamechoka hawa!!!! Ruzuku toka Milioni mia nne na kitu vyama vyote hadi karibu Bilioni? wameishiwa kabisaaaa!!! Chezea Pummm*****Mbuuuuuu weweee!!!!!!!!!!!!!!!! Utaliwa sanaaa kumsifia mwanaume, au hujui tafsiri ya neno ngosha...
Back
Top Bottom