1.kwahiyo leseni inachukua muda gani kuipata kutoka brela
2.na vipi kuhusu usajili wa kampuni brela online
3,na vipi nikitaka kuwa kampuni zaidi ya moja.lakini mwekezaji ni mimi yuleyule usajili wake ukoje??
Jamani habari za wakati huu, hivi naomba kuulizia kuhusu maeneo haya mawili, MKURANGA na KIBAHA vipi eneo zuri kwa kilimo, kuna uwepo wa maji kwa ajili ya umwagiliaji, and more accesible zaidi.
Lakini naomba kujua hali ya hewa ya maeneo hayo kama kuna mu anayafahamu vizuri maeneo hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.