Recent content by davedas

  1. D

    Kitendo cha balozi Polepole kujiuzulu kimeivua nguo CCM kimataifa lakini ni nini kinampa Polepole ujasiri huu?

    Hawa walimchukua Lowasa baada ya kuimba ni fisadi sembuse polepole
  2. D

    Kukubali uteuzi wa mtu usiyempenda na kumuamini kisha baadae unajiuzuru ghafla si ni unafiki?

    Hapo aliogoma ni pole pole tu Halafu ulitaka Majaliwa awe PM kwa term ngap.?
  3. D

    Uchache wa idadi ya raia nimSababu kuu za nchi za uarabuni zenye maisha mazuri kwa raia wengi bila utawala bora

    Ni kweli watu wakiwa wachache ni rahisi kwa nchi kutoboa ila iyo inshu ya democracy nakataa Singapore haina democracy lakini ni moja ya nchi tajiri
  4. D

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Polepole si ndo team Magu wale na ndo kipindi Lissu alipigwa risasi Halafu leo unazani watakaa team moja?
  5. D

    Reli ya SGR ifike Zambia

    Nchi ya Zambia ni moja ya mtumiaji mkubwa sana wa bandari ya Tz mwaka huu pekee amepitisha zaid ya ton 2M kweny bandar yetu ya Dar na hii ni pamoja na changamoto zote za bandari na umbali kutoka Dar hadi tunduma kwanjia ya barabara Ningependa kuona tunampango wa kupeleka sgr uko sababu mizigo...
  6. D

    Kuporomoka kwa thamani ya Sarafu ya Tanzania yaishusha Kiuchumi hadi namba 11 Afrika

    gap la kenya na Tz linaongezeka halaf gap la Tz na Ug linapungua Nchi yetu uchumi wake unadumaa dah Aybn
  7. D

    Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

    Ni kweli Mwanza kwakua ni jiji la pili kwa ukubwa tz bara wanahitaji kiwanja cha mpira sema ndo hvyo wenzenu wa Arusha wamepata fursa kwa kuwa na hotel nyingi za kisasa. Watu wa mwanza sasa hv mngeomba brt au Tram kurahisisha usafiri kwenye jiji na kufanya jiji lenu liwe la kisasa zaidi.
  8. D

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna nyimbo inapigwa sana efm inasema “sinung’ung’uniki Si lalamiki” Sehemu nyingine anasema “Ridhiki anatoa mola” Yani wanaipiga sana efm tatizo jina silifahamu
  9. D

    Gerson Msigwa acha uongo; Unazungumzia ukaguzi wiki 2 zilizopita wakati huo ulikuwa na zaidi ya bilioni 31 tangu 2023

    Uwanja haukuisha matengenezo mkaanza kuutumia tena🤷🏾‍♂️
  10. D

    Kwanini uwanja wa Benjamin Mkapa unatumika kwa matumizi yasio ya Mpira?

    Kwa sababu hamn venue nyingine za kuhost ayo matamasha za ukubwa uwo.. Ndomana serikali inataka ijenge Kawe arena ili ayo matamasha ya kijamii yawe yanafanyika uko.. Lakini ndo ivyo wananchi wanalalamika Kawe arena ni mradi wa kijinga na kifisad😁
  11. D

    Tunauza au tunanunua umeme?

    Nimekuelewa lakini kaskazini iko connected na grid ya taifa na pia kuna mabwawa ya umeme ambayo yanaweza kuongeza nguvu.. Pia ethiopia wanataka kuconnect na grid ya za nchi za south ivyo ni lazima tu kaskazini itakuwa connected na south tanzania.. Yote yote ni issue ya security mzee kaskazin...
  12. D

    Tunauza au tunanunua umeme?

    Sasa kwanini tusimalize kwanza ndani ndo tutoke kuuza nje mbona umeme wa maji ni bei rahisi kuliko uwo wa kenya Geothermal gharama
  13. D

    Tunauza au tunanunua umeme?

    Ndo wapo wanajenga Tunawauzia Zambia
Back
Top Bottom