Recent content by dav_

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mlifanya lini mkuu
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Uhakika upo ni ipo chini ya UN lakin contract ikiisha miaka 3 kurenew sio rahis Sana maana katoka mtu Mimi ndio nikaingia
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante Sawa mkuu
  4. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asant mkuu Yan nikifikiria nachoka
  5. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu NGO hii ipo chini ya UN ni ya zamani sana. Umri wangu chin ya 30 lakin nahofia miaka ijayo kupata kazi utumishi wa umma unazid kuwa mgumu watu wengi mno Nyumbani wananishaur niingie serikalin huku nikiangalia hapa kwenye NGO nikipambana mwaka 1 Tu nitaweza kununua hata kaplot Kang ndio hapo...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu nimepelekwa halmashaur Dah Yan ndio kwanza nimepokea mshahara wa kwanza huku NGO Yani nitoke kwenye zaid ya 2 million kwa mwez nirudi mshahara wa laki 7 sijui ni 8 per month. Nipo dilemma borea psrs wangeniwah before sijapata hii last month
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Asante mkuu
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nafanyeje mkuu niache NGO au nifanye nn mshahara ni TGS. Hapa hata sijajiandaa kufata barua
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu na mm namshukuru Mungu nimelamba asali PDF ya Jana. Status ni selected for oral both app na website kwa taasis zote 3 nilizofanya usahili Interview nilifanya 10 mwaka Jana mbili nilitoboa oral ya mwezi wa 9 na 12. Mwaka huu pia February nilitoboa oral zile za LGA & MDA. Hivyo sijajua if ni...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aliyekwambia nimesoma orodha nani kwanza sijui Una upofu wa macho rudia kusoma uone aliyeleta taarifa nani na pia mm nipo since huu Uzi umeanza sema tu nilibadili 🆔 so kufatilia ni haki yangu na hakuna wa kunizuia kusema chochote
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aliyeleta taarifa sio mimi, and nimechangia Tu Alisema kwamba placement za brela zimetoka na hamna majina ya waliofanya usahili Sasa kosa langu lipo wapi
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kipind chenu cha nyuma serikali haikutoa kibali cha kuajiri na nafasi zilikua chache lakin mama sasa hv anaajiri kwa wingi. Hivyo huwezi kuwalaumu psrs kipind cha magufuli hata kidgo
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yani kwa taarifa yako nimeshapata kazi nzur ya maana, Kuna NGO nafanya hivyo hata psrs waniite sipendi tena
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shida sio hiyo hapo waliitisha usahili brela alafu waliofanya usahili hamna hata mmoja aliyepata placement sasa hapo ni shida Sipingani na database ni sawa ikitumika lakin kwa uzuri. Huwezi waits watu kufanya usahili alaf utoe placement asiwepo hata mmoja aliyefanya oral hii ina maana gani si...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama ni database wangekua wanatoa Pdf la database kama kipind cha Xavier Sasa huoni doubt hapo Yan mfanye interview alaf yatoke majina ambayo siyo. Lazima tujiulize maswali na tupate walakini. Database wanajumuisha na majina ya placement za waliofanya usahili. Asa kwa brela hapa Kuna ukakasi...
Back
Top Bottom