Recent content by Daun Bashike

  1. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Ulikuwa chini ya uangalizi wa wazazi kipindi cha Mabadilikoo???!! Rowasaa!!!!! Rowasaaaa????? Mabadilikooo!!!!!hapo hujaona nyomi la Agustino Mrema ile ilikua funga kazi sasa sijapta kuona nyoma kama la Mrema
  2. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Hakipo chama cha siasa nchini kinaweza kumsikiliza, kuamini na kutekeleza maagizo ya Humphrey Polepole

    Hapana kumeoza ufipani kuleee ambapo mpaka sasa hawajui adui yao ni nani??!! Mara walie na Mbowe, wengine walie na Lisu mpaka wanakimbia chama, wachahe wanaibwekea serikali ambayo ipo mbali nao, mahututi wanali na CCM, mbumbumbu wanalia Mahakama nazani umeona uozo wa ufipani ulivyo😂😂
  3. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Hakipo chama cha siasa nchini kinaweza kumsikiliza, kuamini na kutekeleza maagizo ya Humphrey Polepole

    a Apuuzwe maana waliasisi siasa za hivi kwa mbweembwe wakizani watakua salama wao na genge lao, kumbe Mungu nae anamipango yake. Haya nyakati zao zimepitwa wamekuja wengine kutumia mfumo wao wanakua wakali anahaha na kuona njia hii siyo sahihi ni kandamizi
  4. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Hakipo chama cha siasa nchini kinaweza kumsikiliza, kuamini na kutekeleza maagizo ya Humphrey Polepole

    Hakika umenena vyema huyu mtu ndie aliyekuwa mstari wa mbele kushangilia mauaji ya demokrasia na raia,hii serikali mbovu anayoipigia kelele ilipita kwa kishindo kutokana na shinikizo na twakwa lao, na yule Muovu mwenzie. Watu wenyenia njema walipiga sana kelele, kwamba tusitengeneze siasa za...
  5. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Kwa sura tu Humphrey Polepole anaonekana ni mnafiki aliejawa tamaa, visasi na chuki binafsi

    Sio tu muovu ni mnafki,tapeli mchu, mroho,Lisu wa sasa anapambania ushindi mahakamani ila Lisu wa kipindi kile cha kwao alikua anapambania uhai ukimbizini huko! Huku Magu ndio kinara wa magenge kumbuka sukuma geng? kumbuka wale wa aongezewe mda akiwemo aliyekimbia uhai juzi hapo, wasanii...
  6. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Kwa sura tu Humphrey Polepole anaonekana ni mnafiki aliejawa tamaa, visasi na chuki binafsi

    Shida ya bwana polepole analiponda genge linalojenga mizizi mahali ambapo wao nao walitaka kujenga mizizi yao ila kwa ufundi wa Muumba akawapa ukame😂 maovu mangapi walifanya na bwana yule ukabila ulijaa,Chato ikaitwa ukanda wa kimkakati kila kitu kule mbuga,airport, wakataka iwe mkoa kabisa...
  7. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Wakiristo hawajui kupika vyakula vitamu?

    Jidanganye na ukijichelewesha chelewesha leo tegemea kukutana na sold out
  8. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Wanaume kuigiza nafasi za kike kwenye sanaa, inakwaza

    Wanajificha kwenye sanaa ni kazi ya ubunifu ya kuwasilisha wazo lililo katika akili ya msanii ikiwa ni pamoja na kutumia picha km katuni ila kiujumla huu mtindo wa mwanaume kuvaaa uhusika wa wanawake unapigiwa sana chapuo na wanaharakati na wadau wa upinde ili kufanya iwe kama kirainishi cha...
  9. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Nilijiona mjanja kumbe mjinga tu, hatimaye leo nimetapeliwa

    Daudi umetapeliwa na hassan na kassy😂😂😂😂
  10. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Kwanini nguruwe hauzwi minadani kama mbuzi, kondoo, ng'ombe na kuku?

    Kwanza kabisa ukifuga nguruwe jua tu kila mda watu wanakufuata kukulizia vipi unamuzaaje huyo ambapo ni tofaut na wanyama wengine ambao unaweza kumfuga na kumaliza wiki bila mtu kukuuliza kama unamuuza huyo ila Nguruwe saasaaaa khaaa anatafutwa huyo we jaribu kupita nae tu hata mtaani kila mtu...
  11. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Ziwa Nyasa maarufu Mwasumbi hali ni mbaya

    Picha iko wapi???mbona unazua taharuki bila ushahidi!? Tuma picha ya hayo machafuko tuwatahadharishe ndugu jamaa na marafiki kwa nafasi ya kila mtu kulingana na ushahid wa picha. Ila hilo ziwa si ni ziwa Malawi lakini?
  12. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

    Usisahau kwenye hii kesi binti yumo ndani yake, vip km akaonyesha ushirikiano kwa kumtaja huyo mme wa mtu ambaye mkewe ndiye aliyepelekea yeye kutekwa kufanyiwa unyama ili aachane nae bado huoni kama mpangaji wa hilitukio anakesi ya kujibu NB: sijui sheria nimejaribu kuwaza tu
  13. Daun Bashike

    JamiiForums Tanzania Dream League Soccer Special Thread

    Habarri ya majukumu? Ukiacha na dls 2024 ni game gani zaidi zuri La mpira kucheza kwenye ram ya 4 ?? Natanguliza shukrani kwa msaada
Back
Top Bottom