Well said lkn sioni kama hilo linaweza kutokea ktk bara la Africa na nchi zake zilizomo kwni nchi nyingi za kiafrica demokrasia ipo upande mmoja tu wa chama tawala kwa wakati huo nasi kwa vyama vyote kwn kwetu upinzani ndan na nje ya chama ni uadui mkubwa ambao kiongoz yoyote aliyeko madarakani...
Unalindaje nchi kiuchumi ikiwa umeshndwa kuatract investors kja kuinvest na matokeo yke nchi inakosa fedha za kigen madaf ynaporomoka na dola inapnda kisha unafngia mabank na bureau de change kwa kcngzio kuwa wnatakatisha fedha.........this is the stupidity of highest level I he ever seen in...
Hivi kmbe huwa hawasomi hawa jmaa......!!!au wna soma hawaelewi maana kwa akili ya kawaida issue nyeti kma hii iliyobeba haiwezekan mbunge anakja hpa anatuambia eti hakusoma muswada mpk umepta ndo aje na excuse ya kipuuz hpa,mm nadhan umekfa wkt wa ile sheria ya kwmba sifa ya kuwa mbunge eti...
Wasomi wetu wengi wao kwa ss wanasbr teuzi hvo inakuwa ngmu kwao kufngua kesi mahakaman na wale wachache wny uthubutu wakifanya hvyo wtaishia kfngliwa case za kila aina namwsho wa cku wataitwa wahamiaj haramu wcha tuisome namba mpka pale tutakapojtambua kwn hii inaonysha ni jinsi gan tulvyokuwa...
Yaan nmfngua kwa moyo kweli nijue nn kmeandkwa hmu ndan kmbe nakutana na ushuzi mtup wa hawa wachumia tumbo wachache ambao hawajui thamani ya wazarendo walio wengi nnje wnaumia kwa ujinga wao wakuptsha sheria kandamizi kwa watumishi walio wengi na yet wao wakmalza 5yrs wanapewa 100% ya mafao yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.