Jaman msaada nna hp yangu sio ya muda sana ..ina kama mwaka na miez ni mpya ..
Ila juzi hapa nlitaka kuupdate window 10...basi nkaiacha usiku ikiwa charge maana betri ilikuwa imeisha kabisa..ila nashangaa asbuh kuangalia imemaliza kuupdate kila kitu ila ...betri halijai wala haiingizi charge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.