Recent content by daud gallus

  1. D

    JamiiForums Tanzania Matatzo ya kimahusiano

    Hivi inakua vip unakua upo kweny uhusiano wa kimapenzi na mtu ambae unajua hautakua unamuamin!?? Sometimes unakuta watu wanapigizana kelel hat mbele za watu Kisa wivu wa ajabu kwanini eti kwann ujipe shida!?? Kila siku wanawake kwa wanaume wanazaliw unashindwa kutumia kauli mbiu ya KATA MTI...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Tuelezane njia za asili za kujikinga na kuwaadhibu wachawi

    Alikua mnakaa mtaa mmoja!?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    JamiiForums Tanzania Halmashauri Iringa yaanza kukwamisha Mradi wa Stiglers Gorge

    Tatzo sio tozo za ushuru,ushuru ni uleule ila kweny kikao cha mkuu wa mkoa aliamuru kampuni zote zlizoingia mkataba kusafirisha nguzo hizo zilipie madeni wanayodaiwa zaid ya bil.5 inasemekana coz tangu wameanza kuzisombelea hazijawahi lipiwa ushuru tang mwanzo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kuiga kwa mtu yanafaida gan!??

    Kweny maisha ya vijana wengi wa sahiv wanawatu wao wanawaiga stail zao za maisha yaan kuanzia kuvaa,kunyoa hat kufananisha mahusiano na mtu Fulani au msanii fulan Je,huku kuiga kuna faida gani maana kuna wengin wanayaweza kuna wengn wanashindw? Je,kuna ulazima wowote maan kunawengin wanapat tabu...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli baadhi ya mahusiano kabla na baada ya ndoa hua tofauti!?

    Unahis inatokana na nn!? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli baadhi ya mahusiano kabla na baada ya ndoa hua tofauti!?

    Inakua kam kampen hv kabla ya ndoa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. D

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli baadhi ya mahusiano kabla na baada ya ndoa hua tofauti!?

    Hivi ni kwel baadhi ya mahusiano kabla na baada ya ndoa hua tofauti !?? Yaani kati ya mwanaume au mwanamke tabia zao hubadilika baada ya kufunga ndoa!? Either anaweza kua na tabia nzur kabla ila baada ya ndoa akabadlika kabisa!?? Naomben mfahamishe wadau maana c wengn bdo hatujaingia kweny ndoa...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya watu wakianza kupata mafanikio au dalili ya mafanikio wanakua na dharau

    Kuna baadhi ya watu wengi wao wanaotoka kweny familia duni Wakishaanza kupata njia ya mafinikio au wamefanikiwa wanaanza dharau au maringo hat kwa baadhi ya ndugu zao hat jamaa zao ,wengne wanabadil hadi miondoko kabs hat waliowaonyesha njia ya mafanikio wanawadharau. Hii nlikua nauliza hii...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Mbinu za National Al Ahly hizi hapa

    Kwa hyo ndugu zetu weny mbinu za kukimbia kimbia tuu watapat tabu sana!?? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ukitaka usibambikiwe mtoto fanya lifuatalo

    Kam hauna pesa ya kwenda kugongea mbal unafanyaj!?? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom