Nadhani watu wanashindw kutofautisha kati ya ubabe na kujiamini nahisi mwanamke anampenda mwanume mwnye kujiamini na mwenye uhakika na kile kila mwanaume anachokifanya kuhusu mwanamke
Kama kicha kinavyojieleza.
Mimi ni mwajiliwa katika taasisi flani nilianzia kazi mkoa A na mwanzoni mwa mwaka jana nilihamishiwa mkoa B.Huko mkoa B nimekutana na mfanyakazi mwenzangu ambaye tumetokea kuwa maswahiba hadi kufikia kupiga story za mahusiano cuz mchizi hajao na mimi bado cjaoa...
Hiyo vita inabidi utumie njia za kireno tafuta kwanza ni kitu gani kinachomfanya dogo akutolee mbavuni ukishajua hicho kikwazo then study mazaidhu ya hicho kikwazo na uyageuze kama opportunities ya kuwin game
1.Wanawaza kuwa na handsome kuliko wote duniani
2.Anawaza kuwa na mwanaume ambaye amejitosheleza kiuchumi
3.Anawaza akiwa kwenye mahusiano na mtu aliyefanikiwa na yeye atafanikiwa hata bila kujifunza njia za kupata mafanikio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.