Mbona askari anapouwawa hamsemi , shame on u wote mnaopondea polisi, polisi wanafanya kazi yao vizuri sana, Bila polisi unadhani pangekalika, muwe na huruma, wakati nyie mmelala usiku na wake zenu au waume zenu, wao ndio kwanza wapo nje kulinda usalama wenu, ifike mahala tuwe na uzalendo, hawa...