Recent content by Dasilva

  1. Dasilva

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Simu tajwa hapo juu Inauzwa. Dar. Ni used. Bei 430,000. Kama una hitaji ntafute 0625549532
  2. Dasilva

    Je, ni kweli laana ya Nyerere inawatafuna hawa?

    Babu aliniambia " Watanzania tunataka mabadiliko, na hautapatikana kamwe kama hatutaacha kumruhusu mtu aliyefariki siku nyingi kuendelea kutuongoza" 🚶🏿🚶🏿🚶🏿
  3. Dasilva

    Hivi mama Regina Lowassa ndiye mgombea mwenza wa UKAWA?

    Achana na social networks angalia habari,
  4. Dasilva

    namna ya kuunlock iphone 4 online

    Imei.com Jaribu pakua app yao kwa simu ya android then unlock.
  5. Dasilva

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Sawa hotuba yake nzuri, tena very touching. 1. Anatushauri nini(Watanzania)? 2. What is his catch? 3. So kama EL angetimiza ahadi ya hao watu ambao angekuja nao haya yote asingeyasema? 4. Kwani Watanzania hawayajui,? Sawa tushamsikia na TB yake.
  6. Dasilva

    Hakuna sheria inayomzuia Lowassa kugombea urais, ukweli huu hapa

    Kwani Lowasa kashatiwa hatiani kwa kosa lolote within 5years? Au umetumwa wewe? 😂😂😂
  7. Dasilva

    Meek Mill Drake Beef!

    Na kwa hii ndoma ya drake ni kama rip kwa meek,
  8. Dasilva

    Meek Mill Drake Beef!

    Mchango wako kwa hii beef? Nani mkali? Na nani atakua ana commit career suicide? For my side Drake is winning. 🙌🏽
  9. Dasilva

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Najaribu kuingiza adress yangu ya comgateaway ebay inaniletea hizo error. Help please.
  10. Dasilva

    Kupunguza uzito

    Nishafanya hivyo, ina side effects(point of correction). Haina tofauti na sliming tea labda bei tuu yako kubwa ila function ni zile zile. Thanks anyway.
  11. Dasilva

    Kupunguza uzito

    Ushaitumia wew mwenyewe au umeambiwa? Unatumia pakti ngapi hadi matokeo yaonekane? Labda pakti moja inapunguza kilo ngapi? hanti
  12. Dasilva

    Kupunguza uzito

    Ina tofauti gani na sliming tea? hanti
Back
Top Bottom