Aliyekuwa anasambaza habari za uzushi za kifo cha Mkuu wa Majeshi atiwa mbaroni

Kuna umuhimu wa jeshi kuweka vijana hapa jukwaani ili mahakama zipate kazi ya kufanya
 
DSC01227.jpg
 
:glasses-nerdy:

Mkuu acha kuwafundisha watu uoga hii nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria,kijana kashitakiwa kwa kosa la kuzusha na kusambaza habari za uongo,
Hizo habari za kudhibitisha kifo cha mkuu ni habari nyingine na hayo ni mashtaka mapya ambayo ni mepesi kudhibitisha kuliko hata kunywa glass ya maji..unavyoshauri dogo kukubali makosa wakati upande wa mwendesha mashtaka wa serikali hawaja prove beyond reasonable doubt kuhusu hali ya mkuu uko ni kupandikiza watu uoga..sheria zipo na zipo kwa ajili ya watu wote bila ubaguz,

tuache sheria zifanye kazi.!!
Kweli kabisa mkuu upo Sahihi
 
Hata kama ikiwa kweli CDF wetu kafa, bado kijana huyu atatakiwa kuthibitisha mazingira ya kifo hicho. Au yeye ndo mhusika. Bado naona huyu kijana ni mjinga tu. Hivi anafahamu sio kila ukweli wafaa kusemwa?

Akiendelea kudanganywa atasumbuka sana tu. Na lazima iwe hivyo maana muda aliopewa wa kukanusha na kuomba radhi ulishapita. Soon he will be behind the bars. Atapoteza shule na matarajio ya wazazi wake, na hataitwa shujaa, maana shujaa hana kiburi na uongo. Na hataitwa mtetezi maana hakuna alichokuwa anatetea na kupigania. To hell with him

Absolutely
 
Mkuu acha kuwafundisha watu uoga hii nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria,kijana kashitakiwa kwa kosa la kuzusha na kusambaza habari za uongo,
Hizo habari za kudhibitisha kifo cha mkuu ni habari nyingine na hayo ni mashtaka mapya ambayo ni mepesi kudhibitisha kuliko hata kunywa glass ya maji..unavyoshauri dogo kukubali makosa wakati upande wa mwendesha mashtaka wa serikali hawaja prove beyond reasonable doubt kuhusu hali ya mkuu uko ni kupandikiza watu uoga..sheria zipo na zipo kwa ajili ya watu wote bila ubaguz,

tuache sheria zifanye kazi.!!

Mkuu nimekukubali aisee! Tuiache sheria ifanye kazii
 
Ilikuwa ziara ya siku tisa, leo ni siku ya ngapi..??
Naiona inataka kufanana na ile ya Mkenya wa Ulimboka.... Kimyaaaaaaaa.... Maana kwamba alikwenda kuungama kwa Gwajima ndo wakamkamata, Gwajima alikanusha..... Sasa kama kasema mkuu wetu ajitokeze na seme kitu juu ya afya yake...IMBOMBO ngafu.... Vipi jamaa akiamua kuthibitisha kauli za huyo dogo..???

imbombo jiripo malafyale. kyala mununu saana mweh
 
Duuuhh!! Ngoja Tuvute Tu Subira, UKWELI Wa Yote Yatajulikana Tu!! Tuache Kuota Ndoto!!! Tehe! Tehe! Tehe!! Tusije Kuonekana Tunaingilia Mahakama!!
 
Serikali ya magumashi sana hii.. Mtoeni huko aliko kama yuko hai kweli haki mchukue mkondo wake haraka.. Hii nchi kuongozwa na wapuuzi mpaka wananchi nasi tunaanza kuwa wapuuzi
 
BREAKING NEWS KUTOKA MAHAKAMANI LEO :

Kijana aliyetuhumiwa kwa kosa la kutoa taarifa ya kifo cha mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama aishangaza Mahakama,
Aijibu mahakama kuwa atakubali kuwa amemzushia kifo mkuu huyo wa majeshi kama MWAMUNYANGE au mkuu huyo atajitokeza hadharani na kutoa tamko la uzima wake na vinginevyo atabaki na msimamo wake uleule. Mwanasheria wa CHADEMA Mh JAMES MALLYA ndiye anayeisimamia kesi hiyo.
Je, wadau huyu dogo ana siri gani nyuma ya habari ya tuhuma za MWAMUNYANGE?

Source: Wozap
 
Mkuu tenga mda kidogo upitie hiyo sheria ya makosa ya mitandoa.
Hakuna kifungu chochote kinachotutaka tusubilie wasemaji wa mamlaka husika tu ndo wawe watoa taarifa.argument yako haina mashiko.

Kumbuka katiba ndo sheria mama na katiba inatoa right ya kila mtu kuwa informed..how.?tunaweza tugalizungumza na hilo.


Tena ukizingatia mtu mwenyewe CDF-Chief of Defence Force!. Tatizo taasisi zetu nyingi wasemaji wake hawakupelekwa Shule ya namna ya kufikisha ujumbe kwa Umma panapojitokeza ukakasi .


Na kumpeleka kijana huyu mbele ya Mahakama wakati kama huu nako ni kosa la kiufundi!.
Unless wanajambo jingine nyuma ya pazi.
Kilichoniacha hoi ni taarifa eti DPP amepeleka mahakamani zuio la dhamana!
Kama vile kaua!
 
Hata kama ikiwa kweli CDF wetu kafa, bado kijana huyu atatakiwa kuthibitisha mazingira ya kifo hicho. Au yeye ndo mhusika. Bado naona huyu kijana ni mjinga tu. Hivi anafahamu sio kila ukweli wafaa kusemwa?

Akiendelea kudanganywa atasumbuka sana tu. Na lazima iwe hivyo maana muda aliopewa wa kukanusha na kuomba radhi ulishapita. Soon he will be behind the bars. Atapoteza shule na matarajio ya wazazi wake, na hataitwa shujaa, maana shujaa hana kiburi na uongo. Na hataitwa mtetezi maana hakuna alichokuwa anatetea na kupigania. To hell with him

Naangalia michango ya wengi hapa na ninagundua kuna kitu watu wanashindwa kukipata vizuri

Ukiangalia taarifa ya Jeshi haisemi kama dogo 'ametoa taarifa ya kifo cha Mwamunyange" bali alichokifanya ni kutoa taarifa ya Mwamunyange kunusurika kifo baada ya kunyweshwa sumu

Na hata kesi yake siyo ya kutoa taarifa ya kifo cha CDF bali kutoa taarifa ya uongo juu ya CDF kunusurika baada ya kunyweshwa kitu kinachodhaniwa kuwa sumu
 
Back
Top Bottom