Tazama wenzetu walivyo makini, kuanguka kwa jengo waziri wa ujenzi na mkuu wa police wa eneo husika tayari wamesimamishwa kazi, sisi hadi maamuzi ya mahakama na tume nyingi zitawekwa, magazeti yaandike ndipo tuwaombe wahusika kujihuzuru, bongo bwana!.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums