Recent content by dasani

  1. D

    Bima ya Afya (NHIF): Dhuluma, Mateso kwa watoa huduma hadi lini? Rais Samia tusaidie

    NHIF- BIMA YA AFYA ,DHURUMA, MATESO KWA WATOAHUDUMA HADI LINI? . MAMA TUSAIDIE[emoji120] Mimi ni Mtanzania, mzalendo wa kweli na nimekua nikifanya kazi ya kutoa huduma za afya kwa Watanzania wenzangu nikiwa katika sekta binafsi. Kwa miaka mingi kabla ya 2018, malipo yetu watoa huduma yalikua ya...
  2. D

    NHIF yasema baadhi ya hospitali huwaandikia wagonjwa wenye bima dawa zisizo sahihi. Hii ni hatari kwa afya, ni sawa na kuwanywesha sumu

    Nhif utadhan walikuwa usingizini, na hili ndilo shirika pekee la uma lililonaki kufanya dhuruma mbele ya uso wa mama yetu, tunatambua mama ni mpenda haki , tunaomba basi ateue team nje ya bima ifanye utafiti ajue nini kinachoendelea. Kiukweli kuna mgongano mkubwa sana dhidi ya watoahuduma na...
  3. D

    Kwa mtindo huu halotel siyo mtandao unaomsaidia masikini tena

    Ukistaajabu ya halotel utashangaa ya Airtel. Wakubwa hawa wana offer frki za kitapel, unaambiwa offer maalum sh. 2000 kwa siku 3. Chaajabu ukifungua hata watsapp au utube, haichukui mda unapata sms kuwa bando yako inetumika kwa 90%.
  4. D

    Nimehamishwa kutoka kufundisha Sekondari na kupelekwa primary kisa sielewani na mkuu wa shule

    Kwa wenye nchi zilizoendelea, si ajabu kukuta professor anafundisha primary school, kumbe naomba tujifunze kuwa hata ungepangiwa chekechea bado una fursa nzuri na niheshima sana kuwa mwl wa s/msingi. Nenda kapige kazi mkuu
  5. D

    EFM yapewa ruksa ya kuruka mikoa 10 ya Tanzania, Nape amsifu Majay. Hofu yatanda Clouds Media Group

    Nape kila kikicha busara inaongezeka, ninahisi Mzee Kinana kamkomaza sana Nape. Kungera sana Kinana, Hongera sana Nape. Nakumbuka kipindi cha campagn kinana aliwahi kusema nape ukijisahau ukawa mbali nae utakuta kavuruga mambo hadi bac tena. Hahahaha. Lkn sasa tunaona busara nyingi zinatoka...
  6. D

    Watanzania ni wavivu?

    Kama waliandaliwa kufanya kazi au tukiwatazama tukajiridhisha kuwa kuna kazi zinawasubili na wakikiri kuwa hawataki kufanya kazi ni wazi tutasema ni wavivi
  7. D

    Kutoka Bungeni: Fao la kujitoa halipo badala yake limeletwa fao la kutokua na ajira

    Walau wametoa ufafanuzi mzuri japo bado una favor upande mmoja
  8. D

    Mtaalam wa IT

    Ninahitaji mtaalam wa IT aliye na programme ya hospital. Kama una mfaham anicheck inbox plz
  9. D

    Wapo waliojaribu kupambana na system ila mwisho wao haukuwa mzuri

    Dalai Lama, umeelewa tofauti, system inaangalia mtu makini obama alikuwa upinzani lkn system ikamkubari hivyo kwetu TZ lolote laweza kutokea
  10. D

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Swiper nimepata kitabu cha Analect cha confucius off line
  11. D

    Rwanda dismisses Kagame death rumours

    Nimesikia habari hizo pia lakini nikaongea na wadau kigari hawana taarifa hizo na wao wanashangaa taarifa zinatokea Yz na Ug. Walio karibu na BBC sikilizeni radio.
  12. D

    Vijana 11 wakamatwa Mtwara wakiwa na Silaha za Kivita na CD za Al-Shabaab!

    Hii inatishia amani ktk inchi ya amani Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  13. D

    Serikali, Hakuna suala la kumwangukia PAUL KAGAME, acheni upotoshaji

    Itakuwa kweli tu wajinga, kama habari hizi ni kweli hakika tumekuwa maboya, angekuwa mwl JK au mkapa, wasingehitaji wala kuonana na mtu anayewaita wajinga, pia mchakato wa kumfanyia fitna ungeana sio kusubiri hadi aanzishe yeye kama inavo sikika. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  14. D

    Jengo laanguka India na kuua 9

    Tazama wenzetu walivyo makini, kuanguka kwa jengo waziri wa ujenzi na mkuu wa police wa eneo husika tayari wamesimamishwa kazi, sisi hadi maamuzi ya mahakama na tume nyingi zitawekwa, magazeti yaandike ndipo tuwaombe wahusika kujihuzuru, bongo bwana!. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Back
Top Bottom