Unataka uajiriwe kwa sababu hausikii vizuri au kwa sababu una sifa za kuifanya kazi husika
Na ikitokea kuna wenye sifa kama wewe na wanasikia vizuri (ie hawana changamoto ya usikivu au nyingine yoyote) unafikiri ni kwanini uajiriwe wewe na wengine wasio na changamoto waachwe
Maisha hayaishii...
Uzuri wa high demanding job zinakufanya unakua hata ukianzisha biashara au kazi yako binafsi basi utaifanya kwa standard zilezile za vile ulivyokua kazini
Usiache hiyo fursa ikupite sio kwa sababu ya pesa utayopata bali sababu ya habit itayokuachia
Inaonekana wewe ni mvivu na mzembe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.