Recent content by darubin ya mbao

  1. darubin ya mbao

    Tangazo la kazi 100k kwa mwezi. Kazi unafanyia popote

    Kwa jinsi tangazo lilivyokaa wewe mwenyewe unaonekana unatafuta kazi.
  2. darubin ya mbao

    Tusiosikia vizuri tutaajiriwa na nani?

    Unataka uajiriwe kwa sababu hausikii vizuri au kwa sababu una sifa za kuifanya kazi husika Na ikitokea kuna wenye sifa kama wewe na wanasikia vizuri (ie hawana changamoto ya usikivu au nyingine yoyote) unafikiri ni kwanini uajiriwe wewe na wengine wasio na changamoto waachwe Maisha hayaishii...
  3. darubin ya mbao

    Mbunge Musukuma azichapa na ‘mwekezaji’

    Msukuma anaomba OCS awepo kwenye kikao
  4. darubin ya mbao

    Balozi Polepole alikuwa anatumia Laini ya Airtel Tanzania hadi siku anatekwa

    Nawashauri CHADEMA watumie cryptocurrency kupokea michango, hii wawa wachawi hawawezi kuifikia kwa namna yoyote
  5. darubin ya mbao

    Waziri Kombo ashiriki katika ufunguzi wa Ofisi ya CRDB Dubai

    Una ushamba mwingi sana, jitahidi kutembea
  6. darubin ya mbao

    CCM, inayotoa kibali cha kuteka na kunyang'anya uhai watu, ni nani Mpumbavu awasikilize?

    Huyo zero brain Kikojozi anafikiri watanzania ni wajinga
  7. darubin ya mbao

    PostGE2025 Msigwa: Wakisitisha misaada TUTAJITEGEMEA kwa sababu sehemu kubwa ya bajeti ni makusanyo yetu

    Hayo makusanyo yalikua yanaenda wapi kipindi walipokua wanatoa hiyo misaada
  8. darubin ya mbao

    Kuacha kazi nzuri kutokana na pressure kubwa

    Uzuri wa high demanding job zinakufanya unakua hata ukianzisha biashara au kazi yako binafsi basi utaifanya kwa standard zilezile za vile ulivyokua kazini Usiache hiyo fursa ikupite sio kwa sababu ya pesa utayopata bali sababu ya habit itayokuachia Inaonekana wewe ni mvivu na mzembe kama...
  9. darubin ya mbao

    Kuna mshikaji wangu Desemba nilikuwa naview status zake alikuwa anafanya matanuzi/starehe vibaya sana leo kashajisahau

    Hiyo mbona ni biashara amekupa offer yake ni jukumu lako kukubali au kukataa vigezo na mashart kuzingatiwa Kuleta mambo ya kula bata ni wivu wa kike
Back
Top Bottom