Recent content by darubin ya mbao

  1. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Je INGEKUA wewe ungefanyaje kwa watu ambao hawataki uwe hapo ulipo?

    Ngoja tuone maana Ngoma bado mbichi japo mzani umechegama tayari
  2. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Je INGEKUA wewe ungefanyaje kwa watu ambao hawataki uwe hapo ulipo?

    Wajuzi wa mambo wanasema akijaribu kuvuka huo mstari basi ndio ticket yake kwenda kwa aliyemuumba Ngoja tuone itakuaje
  3. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Vita ya 2030 imeanza mapema sana
  4. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Taifa lina haki ya kujua Makamu wa Rais mstaafu yuko wapi, kama amepotea atafutwe

    Mtu aliyekua analishwa ,kuvalishaa na kila kitu anafanyiwa Bure na Kodi za watanzania hawezi kuondoka kihuni namna hiyo halafu watu wakaa kimya Hujiulizi kwann Dr Mpango hauliziwi
  5. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

    Hili hata Elon Musk Huwa namsikia analisema sana
  6. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Huo mgawanyiko unaojaribu kuujenga hauwezi kutokea
  7. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Haha mkuu wewe ni mwenyeji wa hapo tabora
  8. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Kama ni ujumbe wa kitisho basi tumtie moyo na kumuombea Siha njema...kazi hii inayo majaribu mengi sana

    Shangwe la safari hii litakua kubwa sana
  9. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Gari ya serikali tinted ya nini?

    Hawataki tuone wakiwa wamepakia magendo mfano Kuna mwaka land cruiser hardtop ya serikali ilikamatwa na magunia ya mirungi Kama isingekua tinted hata Hilo wazo lisingemjia
  10. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Hi Hiyo Dunia unayoiongelea kwa sasa haipo na haiwezi kurudi tena so hata hiyo michezo na lifestyle Hilo halipo
  11. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya raia kupambana na polisi na kuwapiga ni dalili kuwa ipo siku raia watashika silaha na amani itatoweka

    Hasira za raia wa Tanzania zipo mbali sana, Kuna level ya juu sana ya uvumilivu aisee Hadi unashangaa Hawa ni watu au mifugo
  12. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Nami ngoja nifanye Kama nimeelewa halafu niulize swali Kwahiyo utawala dhalimu utaanguka au tuendelee kumsuburi messiah
  13. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Geita: Mwananchi aiomba serikali imsaidie kupata kibali kuchunguza uwepo wa madini katika eneo lake

    Wahuni wameshamuuza jamaa bila yeye kujua kua ameuzwa ndio Ile mikataba wanasaini ambayo haionekani popote
  14. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Hizo nyumba zipo kwa ajili ya watu Kama wewe huwezi bas Kuna watu wanaweza Ni kama tu wengine wanavyo kunywa bia wengine soda , maji , Hennessy nk, wote mnakunywa. Au Kama tu wengine wanatumia techno na wengine I phone 17 pro max nk, wote mnawasiliana So ipo hvyo kwenye kila kitu
  15. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Uchawà kazi kweli kweli.

    Mbona wanapiga magoti hapo napo sijaelewa elewa
Back
Top Bottom