Recent content by darubin ya mbao

  1. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Kama kweli tunahitaji umoja na mshikamano katika taifa letu, kwa sasa Wasira hatufai CCM

    Mzee apumzishwe atakuja kufia kazini
  2. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Serikali Tanzania yawapa wazalishaji wa saruji siku nane kushusha bei

    Maisha yapo kasi sana mara ya mwisho nanunua cement ilikua 18,000 mwezi May imeshafika 26k mbona ghafla sana wakuu
  3. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Chadema badala ya kuomba michango mitaani jifunzeni kwa Madam Esta Bulaya amewekeza kwenye kilimo cha kisasa

    Wewe choko unajua hata Bei ya mfuko wa mbolea .
  4. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Vijana wa 31–36 walisoma sana lakini wamechelewa kuwa wajanja wa maisha muda sio mrefu mfumo unawatema

    Hivyo vipesa kidogo tu vya posho ndio unaanza kunanga wenzako Unamfahamu member mmoja humu anaitwa Ontario ndio yopo kwenye huo umri ulioutaja fanya research Yako vizuri
  5. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Ukishaitwa kwenye usaili ujue unaangaliwa kila kitu sio mavazi tu Nikupe hii unaweza kwenda sehemu mkapewa vi pipi kisha unaangaliwa yale maganda utayafanyaje Kama hujui zamani hapo kidogo hata Ile barua ya kuomba kazi ilikua inatakiwa uiandike kwa mkono wewe mwenyewe Kuna mtu wa kucheki...
  6. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    Angalia hizi Huwa ni dalili za ugonjwa wa afya ya akili
  7. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania HAYA, mambo yanazidi kuwa vinyo vinyo, dhidi ya Chalamila, wamiliki wa Mabasi nao wamgomea

    Maendeleo na ustaarabu ni huduma kurahisishwa na kumfikia mtumiaji bila changamoto na ndicho wanachokifanya wenye mabus Haya kwa mantiki yako hiyo stendi ya Mbezi ipo center? Kwenye hili watu wa mabus wapo na upper hand na hamna kitu wataweza kufanya kuwazuia
  8. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Be strong
  9. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Na damu itapomwagika haitaishia siku hiyo ya anguko pekee itaendelea kwa karibu miaka mitano au zaidi
  10. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Undumilakuwili huu wa TEC na Kitime mpaka lini?

    Pole sana ndugu mleta mada, unateseka kuona TEC wapo
  11. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekazana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Usiziamini sana hizo ngano za wayahudi
  12. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Unajua kua Hilo eneo walilouwawa sio ndani ya hifadhi, na hakuna kosa lolote waliokua wametenda Wala kukutwa na vielelezo vyovyote
  13. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Hizo huduma kwa sasa ni pre paid maana yake huduma inakwepo ukilipia unaipata ukiambiwa mtu kakatiwa umeme maana yake huduma imeondolewa kabisa
  14. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Vipi kwa mwenyekiti wa CCM na rais yeye nae anapaswa kuachia nafasi zake ndio maridhiano yatakua ya kuaminiana kweli Kushindwa kulisema hili umeonyesha kua nawe n mboga mboga fc
  15. darubin ya mbao

    JamiiForums Tanzania Comrades nikishika hatamu,JKT,Jeshi la magereza plus watoto wa mitaani kutumika kama lango la uchumi wa nchi hii!!

    Tatizo lipo pale juu Ukishika hatamu ni kauli moja tu vijana wanaingiza kazini
Back
Top Bottom