Mtu aliyekua analishwa ,kuvalishaa na kila kitu anafanyiwa Bure na Kodi za watanzania hawezi kuondoka kihuni namna hiyo halafu watu wakaa kimya
Hujiulizi kwann Dr Mpango hauliziwi
Hawataki tuone wakiwa wamepakia magendo mfano Kuna mwaka land cruiser hardtop ya serikali ilikamatwa na magunia ya mirungi Kama isingekua tinted hata Hilo wazo lisingemjia
Hizo nyumba zipo kwa ajili ya watu Kama wewe huwezi bas Kuna watu wanaweza
Ni kama tu wengine wanavyo kunywa bia wengine soda , maji , Hennessy nk, wote mnakunywa.
Au Kama tu wengine wanatumia techno na wengine I phone 17 pro max nk, wote mnawasiliana
So ipo hvyo kwenye kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.