Hivyo vipesa kidogo tu vya posho ndio unaanza kunanga wenzako
Unamfahamu member mmoja humu anaitwa Ontario ndio yopo kwenye huo umri ulioutaja fanya research Yako vizuri
Ukishaitwa kwenye usaili ujue unaangaliwa kila kitu sio mavazi tu
Nikupe hii unaweza kwenda sehemu mkapewa vi pipi kisha unaangaliwa yale maganda utayafanyaje
Kama hujui zamani hapo kidogo hata Ile barua ya kuomba kazi ilikua inatakiwa uiandike kwa mkono wewe mwenyewe Kuna mtu wa kucheki...
Maendeleo na ustaarabu ni huduma kurahisishwa na kumfikia mtumiaji bila changamoto na ndicho wanachokifanya wenye mabus
Haya kwa mantiki yako hiyo stendi ya Mbezi ipo center?
Kwenye hili watu wa mabus wapo na upper hand na hamna kitu wataweza kufanya kuwazuia
Vipi kwa mwenyekiti wa CCM na rais yeye nae anapaswa kuachia nafasi zake ndio maridhiano yatakua ya kuaminiana kweli
Kushindwa kulisema hili umeonyesha kua nawe n mboga mboga fc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.