Habari wanajukwaa,
Naitwa fundi mwenye uzoefu mzuri katika fani ya umeme na vifaa vya kielektroniki, napatikana Dar es Salaam. Nimekuwa nikihudumu kwa ufanisi katika kazi mbalimbali zinazohusiana na matengenezo, usimikaji, na ushauri wa kitaalamu kwenye vifaa vya kila aina.
Huduma ninazotoa ni...
Habari za majukumu wakuu poleni na hongereni pia.
Nimekuwa nikifatilia jf Kwa muda mrefu na hatimae nimeona na Mimi nijiunge.
Mimi napatikana dsm, na najishughulisha na ufundi wa Umeme, tv, w.mashine,ving'amuzi,na cctv camera, mawasiliano yangu ni 0755 969589 asanteni sn wakuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.