Recent content by DARING SOUL

  1. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaji mwl wa kubadilisha nae. Nipo Lindi Ruangwa, Idara ya Sekondari. Nahitaji kwenda BAGAMOYO, KIBAHA, MOSHI, ARUSHA DC/ MANISPAA, MERU au MANYARA. PLZ wasiliana nami kwa PM au 0684086635/ 0717041305. Nipo serious.
  2. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    (DAU Tshs 300000 kwa ajili ya Usafiri) NJOO RUANGWA NIENDE MOJA KATI YA MIKOA YA KINONDONI, ILALA TEMEKE BAGAMOYO HANDENI MOSHI SAME ARUSHA. (Idara ya Secondary) Nitumie PM au tuwasiliane kwa 0684086635 / 0717041305
  3. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    (DAU Tshs 300000 kwa ajili ya Usafiri) NJOO RUANGWA NIENDE MOJA KATI YA MIKOA YA KINONDONI, ILALA TEMEKE BAGAMOYO HANDENI MOSHI SAME ARUSHA. (Idara ya Secondary) Nitumie PM au tuwasiliane kwa 0684086635 / 0717041305
  4. DARING SOUL

    CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

    KUNA WATU HAWANA KAZI KABISA. ULIFANYA LINI RESEARCH? Suala la kushindaama kushindwa litajulikanabaada ya matokeo. We endelea kuingiza chako mfukoni kwa kupiga porojo humu ndani. wenzako tutasema na KISANDUKU CHA KUPIGIA KURA. Utafunga mwaka kwa kibarua kuota nyasi
  5. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi natafuta mwalimu wa Sec wa kubadilishana nae. Yeye aje Ruangwa mm niende moja kati ya mikoa ya KINONDONI, BAGAMOYO, KIBAHA AU MORO TOWN. Yeyote anayetokea moja ya sehemu hizo na angependa tubadikishane, tuwasiliane. NB. Mchakato ukikamilika nitampatia 200000 na atazipokea kwa afisa Elimu-...
  6. DARING SOUL

    Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    Endelea kujihadaa mwenyewe
  7. DARING SOUL

    Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    HAYA SASA!! Imesomwa ama HAIJASOMWA?
  8. DARING SOUL

    Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    Kazi kuu ya mahakama ni kusimamia Sheria na kutoa Haki. Sheria zenyewe zinatungwa na Bunge. Inakuwaje leo Bosi amsikilize na kumtii mfanyakazi wake anayempa kuishi? La hasha, haiwezekani hata siku moja. Labda kama hakuna anayejua haki yake ya Msingi
  9. DARING SOUL

    Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    USIROPOKE TU KAMA HUJASOMA KATIBA. Kasome Ibara ya 100(1) inayoelekeza kuwa Bunge lina haki na madaraka yasiyohojiwa na chombo chochote kingine nje ya Bunge ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Halafu ndo uje utuambie hoja yako umeitoa wapi? ACHA KUPOTOSHA wasiosoma katiba
  10. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    An sms you must read"^^^^^^^^^^^^
  11. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    HEY Y'ALL!!!!! Mimi natafuta mwalimu wa Sec wa kubadilishana nae. Yeye aje Ruangwa mm niende moja kati ya mikoa ya KINONDONI, BAGAMOYO, KIBAHA, MOROGORO, TANGA, ARUSHA, KILIMANJARO AU MBEYA. Yeyote anayetokea moja ya sehemu hizo na angependa tubadilishane, tuwasiliane kwa Private message au...
  12. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari zenu Walimu na wadau mbalimbali? Mimi natafuta mwalimu wa Sec wa kubadilishana nae. Yeye aje Ruangwa mm niende moja kati ya mikoa ya KINONDONI, BAGAMOYO, KIBAHA AU MORO TOWN. Yeyote anayetokea moja ya sehemu hizo na angependa tubadikishane, tuwasiliane. NB. MCHAKATO UKIKAMILIKA...
  13. DARING SOUL

    CHADEMA(UKAWA) kupitia kura za MAONI WAMETISHA

    TANGAZO !!TANGAZO! WAJULISHE NA WENGINE waliofikia umri wa miaka 18 na kuendelea ,yaani waliozaliwa kuanzia 1996 kabla ya tarehe 15 mwezi wa 12 wote wakajiandishe MAPEMA Kuanzia tarehe 23-11-2014 hadi tarehe 29-11-2014 ndiyo siku za kujiandikisha kwenye daftari la mkazi Tarehe ya kupiga...
  14. DARING SOUL

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari zenu Walimu na wadau mbalimbali? Mimi natafuta mwalimu wa Sec wa kubadilishana nae. Yeye aje Ruangwa mm niende moja kati ya mikoa ya KINONDONI, BAGAMOYO, KIBAHA AU MORO TOWN. Yeyote anayetokea moja ya sehemu hizo na angependa tubadikishane, tuwasiliane. NB. Mchakato ukikamilika...
Back
Top Bottom