Recent content by DARING SOUL

  1. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Mnyika amjibu Mrema: Ungetaka walipwe wote, ukirudi ofisini mshauri Boss wako mwanasheria Mkuu wa Serikali alipe pesa zetu zaidi ya Milioni 400

    Y anahusiana na kudodosa jinsi viongozi wa chama na CDM ilivyokusanya na kubana matumizi ya fedha ili kufadhili UHAINI Wanasheria na mawakili wanatumia njia ndefu sana kumjaza mtuhumiwa au mshitakiwa kwenye 18 zao
  2. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Je viongozi wa Serikali wanajua sheria au tumeamua nchi iongozwe kwa mtizamo wa mtu?

    Je viongozi wa Serikali wanajua sheria au tumeamua nchi iongozwe kwa mtizamo wa mtu mmoja mmoja? Kumeibuka kasumba kwenye shule nyingi hapa nchini kuweka kambi za kitaaluma kwa kigezo chan "vituo vya mada tata" au bweni bubu na wanafunzi kufundishwa muda mrefu bila kupata nafasi ya kuchangamana...
  3. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Bodaboda wengi hawajui matumizi ya taa za ‘dabo hazadi’, waelimishwe

    Si hivyo tu, kuna matumizi ya taa zenye rangi tofauti na zinazotambulika kisheria Watu wanatumia taa za rangi tofautitofauti kama vile kijani, nyekundu n.k kwenye maeneo taa za Double hazard Vilevile kwenye taa za nyuma, siku hizi vijana wanabadili na kuweka taa zinazotoa taa ambazo zinamulika...
  4. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Inategemea na mahali ulipo na upatikanaji wa material. Ukiwa kijijini, uhakika wa kujenga na kupau na kufanya plastering walau chumba kimoja inawezakana. Kwa mjini, unaweza kuishia ujenzi wa boma na kubakiwa na visent endapo utasimamia mwenyewe na unajua mahali material yanakopatikana na una...
  5. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaji mwl wa kubadilisha nae. Nipo Lindi Ruangwa, Idara ya Sekondari. Nahitaji kwenda BAGAMOYO, KIBAHA, MOSHI, ARUSHA DC/ MANISPAA, MERU au MANYARA. PLZ wasiliana nami kwa PM au 0684086635/ 0717041305. Nipo serious.
  6. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    (DAU Tshs 300000 kwa ajili ya Usafiri) NJOO RUANGWA NIENDE MOJA KATI YA MIKOA YA KINONDONI, ILALA TEMEKE BAGAMOYO HANDENI MOSHI SAME ARUSHA. (Idara ya Secondary) Nitumie PM au tuwasiliane kwa 0684086635 / 0717041305
  7. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    (DAU Tshs 300000 kwa ajili ya Usafiri) NJOO RUANGWA NIENDE MOJA KATI YA MIKOA YA KINONDONI, ILALA TEMEKE BAGAMOYO HANDENI MOSHI SAME ARUSHA. (Idara ya Secondary) Nitumie PM au tuwasiliane kwa 0684086635 / 0717041305
  8. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kushindwa vibaya serikali za mitaa

    KUNA WATU HAWANA KAZI KABISA. ULIFANYA LINI RESEARCH? Suala la kushindaama kushindwa litajulikanabaada ya matokeo. We endelea kuingiza chako mfukoni kwa kupiga porojo humu ndani. wenzako tutasema na KISANDUKU CHA KUPIGIA KURA. Utafunga mwaka kwa kibarua kuota nyasi
  9. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi natafuta mwalimu wa Sec wa kubadilishana nae. Yeye aje Ruangwa mm niende moja kati ya mikoa ya KINONDONI, BAGAMOYO, KIBAHA AU MORO TOWN. Yeyote anayetokea moja ya sehemu hizo na angependa tubadikishane, tuwasiliane. NB. Mchakato ukikamilika nitampatia 200000 na atazipokea kwa afisa Elimu-...
  10. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    Endelea kujihadaa mwenyewe
  11. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    HAYA SASA!! Imesomwa ama HAIJASOMWA?
  12. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    Kazi kuu ya mahakama ni kusimamia Sheria na kutoa Haki. Sheria zenyewe zinatungwa na Bunge. Inakuwaje leo Bosi amsikilize na kumtii mfanyakazi wake anayempa kuishi? La hasha, haiwezekani hata siku moja. Labda kama hakuna anayejua haki yake ya Msingi
  13. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    USIROPOKE TU KAMA HUJASOMA KATIBA. Kasome Ibara ya 100(1) inayoelekeza kuwa Bunge lina haki na madaraka yasiyohojiwa na chombo chochote kingine nje ya Bunge ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Halafu ndo uje utuambie hoja yako umeitoa wapi? ACHA KUPOTOSHA wasiosoma katiba
  14. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    An sms you must read"^^^^^^^^^^^^
  15. DARING SOUL

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    HEY Y'ALL!!!!! Mimi natafuta mwalimu wa Sec wa kubadilishana nae. Yeye aje Ruangwa mm niende moja kati ya mikoa ya KINONDONI, BAGAMOYO, KIBAHA, MOROGORO, TANGA, ARUSHA, KILIMANJARO AU MBEYA. Yeyote anayetokea moja ya sehemu hizo na angependa tubadilishane, tuwasiliane kwa Private message au...
Back
Top Bottom