Recent content by daraja la kigamboni

  1. daraja la kigamboni

    Pesa wanayolipwa Polisi Trafiki na wafanyakazi wa TRA haiendani na maisha yao

    Ulitaka wakuoneshe ili uhoji mali walizonazo haziendani na mishahara yao
  2. daraja la kigamboni

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Mwanamke anayempenda mume wake lazima atakuwa upande wa mme wake hata kama ni jambazi
  3. daraja la kigamboni

    Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Mume anaenda jela miaka 30 Bila shaka kuna tatizo katika hiyo ndoa
  4. daraja la kigamboni

    Yanga kutotumia dressing room leo

    Wenyeji wa mchezo wanakimbia dressing room?
  5. daraja la kigamboni

    CAF yamtema refa aliyekataa goli la Aziz Ki

    Mamelod wanacheza nusu fainali leo. Kwa nini CAF hawajatoa uamuzi wa rufaa/malalamiko ya Yanga?
  6. daraja la kigamboni

    Hivi ni nani alipitisha Kikokotoo, mbona Wabunge wa CCM wanakikataa, au ni Utapeli wa kisiasa kuelekea Uchaguzi?

    Kikotoo kipo tangu 2012, ila kimeanza kutumika mwaka jana 2023. Msukuma ameanza ubunge mwaka gani?
  7. daraja la kigamboni

    Nimegundua matajiri wengi hapa Tanzania hawajasoma

    Kujitambua tu haiwezi kukufanya uwe tajiri
  8. daraja la kigamboni

    Mzize kwenda Azam ni kujimaliza kisoka

    Aishi kwa matumaini ya kupata timu kubwa Africa au Ulaya huku akilipwa mshahara kiduchu. Umri unaenda mwisho wa siku anaishia Namungo, Singida, KMC nk
Back
Top Bottom