Recent content by Danvis84

  1. D

    Je, pendekezo la kushushwa mshahara kwa waliotenguliwa nafasi litawahusu pia waliotenguliwa huko nyuma?

    Mama kashtuka kipindi cha Magu hawa watu waliitafuna sana serikali kwa sababu ya kupeana ulaji bila kuangalia vigezo. Unakuta unalipa wakurugenzi wawili sehemu moja. Ni vizuri waweze kuangali namna ya uteuZi kwa kuwahamisha au kusubiri watu wamalize utumishi wao au wateuliwe ambao wamestaafu...
  2. D

    Rais Samia katika Uzinduzi Zanzibar akosoa kuchukua waliofeli kuwa walimu asema ndio wanadumisha elimu nchini

    Vasco Dagama unamfahua au unasoma tu kwenye historia. Kwa kuingia kwa rais Samia mm mwenyewe nimepiga hatua 20 mail. Ukilinganisha na Magufuli. Kwanza mkopo wangu wa Chuo Kikuu umeisha mapema. Namshukuru Mungu sana kwa Rais Samia kuwa Rais.
  3. D

    Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais

    Ngoja sensa itawaambia kuwa kanda ya ziwa wako wangapi.
  4. D

    God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

    Tunapaswa kujifunza kutenda mema hapa dunini hata tukifika mbinguni tuishi milele na Mungu muumbaji huku tukiwa na mili mipyA
  5. D

    Rais Samia apandisha kiwango cha Posho ya Kujikimu ya Safari za Ndani ya Nchi na Malipo ya Kazi Maalum kwa Watumishi wa Umma

    Maeneo mengi karika Taaaisi hata hyo elf 30 haikuwezwa kutekelezwa je hyo 60 ndio itatekelezwa?
  6. D

    Tangu Chadema ianze kugombea Urais wa JMT Lowassa ndio aliongoza Wabunge wengi, kisha Dr Slaa, Mbowe na mwisho Tundu Lisu

    Hata siku moja mpinzania atapata wabunge tu si uraisi. Vyama bya uponzani vipo ili kuisaidia ccm ishinde wala ci kwa ajili mpinzania ashinde urais
  7. D

    Tangu Chadema ianze kugombea Urais wa JMT Lowassa ndio aliongoza Wabunge wengi, kisha Dr Slaa, Mbowe na mwisho Tundu Lisu

    Mpaka sasa hujaelewa kuwa upinzani haupo Tanzania? Yohana mbatizaji? Jua kwamba vyama vyote vya upinzani vipo ili kuisaidia ccm ishinde wala hakuna upinzani.
  8. D

    Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

    Kwa kifupi vyama vya upinzani vimeanzoshwa ma c cm ili kiendelee kuwa madarakani
  9. D

    Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

    Kwa kweli ccm lazima watawale tu yani kaZi zenu kufarakanisha ili wananchi wajue kuna ugomvi kumbe mbinu zenu ili mshinde uchaguzi.
  10. D

    CRDB Bank jirekebisheni, mikopo ni jambo la dharura

    Hvi hawa jamaa wamefilisika au? Wiki ya 3 hakuna fedha yyte na paylaw inakaribia ku run.
  11. D

    Natafuta mpenzi wa kike alie Arusha

    Usijali utampata kuwa na subra
  12. D

    Majina ya walioomba kazi wizara ya afya haya hapa

    hiyo orodha iko wapi jamani mbona cioni.
  13. D

    Kikwete: Harakisheni sheria ya Usalama mitandaoni

    Haya mkuu wetu uliyetukuka
Back
Top Bottom