Recent content by danss

  1. D

    Kaka utaiweza kasi ya Magufuli?

    Nyie ni njaa zenu tu. Kwenu uwa hamuweki miguu Juu ya meza? Elimu, elimu, elimu
  2. D

    Ajenda ya kupinga ufisadi: Ni ya CHADEMA kama Chama au ilikuwa ya Dr Slaa. Pekee?

    Wataipingaje ilihali walikaribisha kirusi? Watie boriti kwanza ndipo watafute vibanzi
  3. D

    Nini faida ya kuoa mwanamke ambaye ni bikira

    Wewe bikira? Unatafuta bikirailihali wewe ni screpa!
  4. D

    Mke wangu simuelewi hajawahi kuniambia anahamu na mimi

    Kaa nae mueleze jinsi unavyojisikia. Na nini unapenda akufanyie. Kuna kitabu kizuri kinaitwa majibu kwa ndoa yako pia kitamzaidia unaweza kukipata bookshop yoyote. Pia MPE nafasi ujue uwa unakosea wapi ili aweze kufurahia.
Back
Top Bottom