hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Ushawahi kujiuliza kwa nini jamani wanawake walikuwa wanaoleewa bado bikira?
Mwanaume husikia raha sana anapombikiri mwanamke, na pia anajisikia faraja kuwa yeye ndiye wa kwanza kukata utepe!
Tatizo ukizoea kubikiri utataka uendelee kubikiri. Kuna raha ya kubikiri we acha tu!
unapenda zile nyanya ngumu au laini?
Ntaleta na matango ya kutosha
Acha kujibembeleza kwa kupata Used wako.BIKRA INA RAHA Yake bhana.
ushawahi kujiuliza kwa nini jamani wanawake walikuwa wanaoleewa bado bikira?
nna case study ya hii kitu
Rafiki yangu alikuwa na mahusiano na mwanamke kwa miaka minne walikuwa happy kama kuna ugomvi ni kawaida wanasolve maisha yanaendelea dada alijitoa kiasi kikubwa kwa huyo mwanaume .Na mwanaume alijua anapendwa sasa hivi karibuni kaka kapata mafanikio sana ana vyombo vya usafiri vinavyomuingizia pesa nyingi kwa siku .Amekutana na mwanamke mwingine ambaye yeye ndiye amembikiri
Ikumbukwe kuwa yule msichana aliyekuwa nae kwa miaka mnne walikuwa happy wanajoke, wanaimba, wanafurahi muda wote . Jamaa kamuacha dada anasema anachofeel kwa huyo msichana mpya ni real he dont want to loose it wakati huyo jamaa alianza na huyo dada hadi chakula ananunuliwa
Is it fair?
not fair kabisa.... jamaa lazima amkumbuke yule dada wa miaka minne ... hapo ndipo mapenzi yake yalipo .. huyo bikra anamwonea huruma tu na bikra kumuheshimu na kumwogopa ni kwa sababu hana exposer ya kutosha
ya mapenzi na dushehahah eti exposer ya mapenzi au ya nini?
Sijawahi hebu ninong'oneze nijue kwaninni ilikuwa hivyo zamani?
Mwanaume husikia raha sana anapombikiri mwanamke, na pia anajisikia faraja kuwa yeye ndiye wa kwanza kukata utepe!
Tatizo ukizoea kubikiri utataka uendelee kubikiri. Kuna raha ya kubikiri we acha tu!
Watu wengi wanapenda kuoa wanawake bikira, wakati unapomuoa bikira yake inakuwepo ukishambikiri anakuwa sio bikira tena. Je kuna haja ya kuhangaika na mabikira wakati bikira zao hazidumu hata week moja? Si bora kutafuta yoyote yule aliye tulia na mnayependana kwa wakati huo?