Recent content by DanielStephens

  1. DanielStephens

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    Nina mtaji wa kuanzia 500k mpaka 1m nahitaji idea ya biashara ambayo haitakula much of my time namaanisha siku nzima kwamaana mimi ni nwanachuo Sent using Jamii Forums mobile app
  2. DanielStephens

    Mrisho Mpoto amuomba Nasib Abdul kufika kwenye msiba wa Ruge Mutahaba

    Kuhusiana na hili swala la msiba wa Ruge kila mtu anajitahidi kuonekana mwema... Wote wanafiki tu. Mwenye busara angejaribu kuwapatanisha kabla ya chochote hakijatokea Sent using Jamii Forums mobile app
  3. DanielStephens

    English learning thread

    Lazma muwe age mates sasa miaka hamsini tutaongea nini? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. DanielStephens

    NECTA, haya matokeo ya hii shule yanatia wasiwasi

    Lengo la mtihani nikupima uelewa wa mwanafunzi sio kuwakomoa wanafunzi watunzi wa mitihan wa zaman hizo walkua hawana uelewa na hlo sasa hivi wajua kua mtihani sio vita Sent using Jamii Forums mobile app
  5. DanielStephens

    NECTA, haya matokeo ya hii shule yanatia wasiwasi

    Mimi naona tatizo ambalo lipo na ni kubwa kuliko unalotaka tujadili ni shule ambazo hawana kabsa division 1 ,division 2 iko moja 3 zinahesabika embu tizama hayo matokeo yaliko hapo chini.. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. DanielStephens

    English learning thread

    I need an english practising partner we will have our conversating schedule giving one another different life advices for the aim of improving the quality of our english check me on 0672961156 Age (18-25years) the aim is having an agemate as a partner Sent using Jamii Forums mobile app
  7. DanielStephens

    Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

    Haiingii akilini kama mtu atakuomba msamaha kabla ya kukukanyaga ndipo akakukanyaga kimsingi lazma uongee kama uko timamu na alichokua anakifanya bro hapo nafikiri nkutoa elimu kuhusu wokovu ambayo ndugu yetu kaikosa ndio sababu akafananisha wokovu na vitu vya kijinga... Sent using Jamii Forums...
  8. DanielStephens

    Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

    Kwenye forex hatuuzi bidhaa shida nyie mmeesha danganywa na wajanja wametumia jina forex kuwatapeli Sent using Jamii Forums mobile app
  9. DanielStephens

    Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

    Unachotakiwa ni kujua exchange rate za dollar na euro then ili upate faida unatakiwa either uununue au uuze moja wapo ya hzo fedha kulingana na viwango vya kubadili fedha vya siku husika
  10. DanielStephens

    Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

    Shida ya watanzania ni moja wanakurupuka na hatupendi kusoma wote wanaiponda forex na wanaoisifia forex hawajui hata kirefu chake (foreign exchange) na sio mchezo wala sio njia yoyote ya kupata utajiri ni soko la kubadili fedha za kimataifa....
Back
Top Bottom