Recent content by danieljeneral93

  1. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Distance learning/online

    Habari WanajamiiForums, Naombeni mnisaidie kwa wale ambao wanafuatilia vizuri masula ya kujiendeleza kielimu hivi ni vyuo gani vizuri vinavyotoa distance learning? Iwe kwa hapa nchini au njee kwa gaharama nafuu
  2. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nataka kusoma Shahada ya Umahiri ya Ualimu wa Sayansi mwakani 2024

    Wazo lako si9 baya ila kaa chini fikiri mara mbili maana unaweza kwenda kwenye education a hiyo first class usiipate. Mimi ni mwalimu huku kwetu kuna changamoto nyingi sana nakushauri kama unaweza pambana kwenye area yako hiyo hiyo
  3. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kusoma masters degree

    Nafanya biashara pia, ila naona kuna vitu bado nahitaji kuwa navyo vije kunipa backup badae naamin ktika elimu
  4. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kusoma masters degree

    Lete comments zako na ushauri
  5. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kusoma masters degree

    Naweza kupata full name ya hyo master degree yake
  6. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kusoma masters degree

    Okay hii naona imekaa sawa asante sana
  7. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Je nisome master's degree ya ualimu au isiyo ya ualimu

    Habari wana JF, ndugu zangu hapa ni jukwaa la kupeana michongo na kubadilishana mawazo. Kuna jambo naombeni tusaidiane Mimi ni mwalimu na niko nje ya system I mean sijaajiriwa serikalini nafanya private school ila nina hitaki kufanya master degree kipi kinaweza kuwa sahihi kwangu. 1. Kusoma...
  8. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kusoma masters degree

    Habr wana JM, ndgu zangu hapa ni jukwaa la kupeana michongo na kubadilishana mawazo. Kuna jambo naombeni tusaidiane Mimi ni mwalimu bado sijaariwa na serikali nafanya private school ila nina hitaki kufanya master degree kipi kinaweza kuwa sahihi kwangu 1. Kusoma masters ambazo zinahusisha...
  9. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Natural Resources Management and Assessment

    Hellow mr unaweza niconnect na hyo mtu
  10. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Natural Resources Management and Assessment

    Ntashukuru sana nisaidie
  11. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Ni master au degree yenye michongo mtaani?

    Unamaanisha nn bro cjakupata kama kuna kitu unataka kusema ila umeishia njian au sio
  12. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Ni master au degree yenye michongo mtaani?

    Okay, vipi kama hujaajiriwa bado?
  13. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Ni master au degree yenye michongo mtaani?

    Vp kwa upande wa MA hivi ajira zake huwa zinatangazwa? I mean inakuwa kama one of qualification?
  14. danieljeneral93

    JamiiForums Tanzania Ni master au degree yenye michongo mtaani?

    Habrini ndgu zangu wana JF mwenzenu naomba kuuliza hivi ni kipi chenye michongo mitaani kati ya master au undergraduate degree? Tujaribu kushare idea kama vijana ili tusijekupoteza muda wa kusoma Masters kumbe michongo ipo kwenye kutafta japo degree nyingne. Msaada tafadhali na hii nazungumzia...
Back
Top Bottom