Recent content by Daniel son

  1. Daniel son

    Zitto Kabwe: Rais anakosea Sana kuhusisha suala la Masheikh waliopo ndani na mauaji ya MKIRU

    Nashindwa kuelewa kati ya Baba Jesca na Rais ya mioyo ya watu nani karopoka ambaye angesaidia polisi maake tayari ana data kuwa ya kibiti ni mashee akasaidie polisi upelelezi
  2. Daniel son

    Mrisho Gambo: Wapinzani watapotea

    Upinzani ulikwepo kabla ya huyo kenge hajajulikana so sioni ajabu akili ndo iko hivo
  3. Daniel son

    Wananchi Mara waandamana kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli

    Nisaidie namba zao niwapigie maake naona wanaelekea kuzimu akili imeshawaruka duuuh
  4. Daniel son

    Mwanza hapafai, msilinganishe na Arusha

    Kama vipo Arusha si ukachukue au uliijia mimba mwanza watakudunga kweli
  5. Daniel son

    Benson Mramba: CHADEMA tujiepushe na siasa za kibabe, viongozi wakubali kusemwa

    Ufisadi ambao familia yenu ilikwapua ndo inakusumbua
  6. Daniel son

    Lissu kugalagazwa vibaya sana uchaguzi ujao, Mkumbo kubeba jimbo kiulaini

    Kumtoa lissu ikungi sawasawa na ccm kufukuza machizi yote ndani ya chama
  7. Daniel son

    Lissu: Kama ACACIA ni wezi, kwanini Polisi wamewapiga Mabomu wananchi wa Tarime?

    Lissu kawapa mwanga mmepata Kiki ya kuondokea leo amekuwa mnafiki duuuh
  8. Daniel son

    Lissu angefanya haya, upinzani ungekuwa mbali sana

    Akili yako mavi ya kondoo tu
  9. Daniel son

    Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

    Wangekuwa wale na mie wangepigwa mabomu hengera yao
  10. Daniel son

    Mbunge wa viti maalum ataka John Heche akamtwe kwa kuhamasisha vurugu

    Yeye za Tarime zinamuhusu nini au ye naye boya tu au anatafuta wa kumgegeda heche mshugulikie
  11. Daniel son

    Sijasikia ACACIA wakijitetea, namsikia Mtanzania Tundu Lissu akiwatetea!

    Leo kumbe accasia Wana leseni ya kuchimba kumbe siyo wezi tena hii ndo Bongo ambapo wanapatikana nyani + tumbili
Back
Top Bottom