buldings in account we call the fixed asset . Even vitu kama hela ambazo ni cash , cash at bank , debtors , and stock izo tunaita current asset. Na vitu kama loan au mkopo tunaita current liabilities ! Nyc time
ili kupanga bei ya bidhaa au huduma (service ) inabidi kujua level ya maisha katika eneo husika la biashara au huduma kwa kuangalia incomes za watu katika eneo hilo, ili kujua % kubwa ni matajiri , level yakati au watu wa hali ya chini ! Ukizingatia hii utapata kupanga bei nzuri na yenye faida...
ili kupata tenda ingawa huna ukumbi, kwanza jaribu kujuana na watu mashuhuri ambao wanahusika na masherehe mbalimbali ili kuwa na partnership ktk kupata tenda even jaribu kuwa mtafiti wapi kutakua na sherehe ili kuwatafuta wanakamati ili kuwashawishi wakupe tenda na ukishapata inabidi utumie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.