Recent content by Daniel flavi

  1. Daniel flavi

    Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

    Ww una matatizo hela za kutengeneza movies samia alichangisha wadau
  2. Daniel flavi

    Kwenye majukwaa ya kimataifa, Rais Samia atumie akili ya ziada na welevu kujadiliana na kuongea

    Yaan kikubwaa ni kwamba bado nchi haina mfumo maalumu wa kutenganisha matakwa binafsi ya rais na ya kitaifa ndo hvyo hata kwenye sera kila rais akiingia madarakani anakuja na sera zake
  3. Daniel flavi

    Karata ya Urusi itaiimarisha kuwa Super power na kuidhoofisha USA na EU kiuchumi

    Lazima mjue western nations hawawezi kumruhusu jamaa ashinde hii vita maana wanajua madhara makubwa ya mrusi kuexpand tena
  4. Daniel flavi

    GE2020 Nitaipigia kura CCM 2020 ikiwa..

    Binafsi kati ya vitu sitavusupport ni kuwepo kwa serikali tatu, ukibishaa njoo na hoja, hoja yang ya msingi serikali tatu sio suruhisho la matatizo yetu ya msingi, tunaweza kutumia hizi tulizo nazo kama tutapata viongozi wazuri
  5. Daniel flavi

    Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

    KENZY, Wewe una uhakika hiyo plan A hawakuifanya au una uhakika gani kwamba hata B walikuwa hawajafika, sio kila kosa ni kosa, na sio kila sheria ni sheria
  6. Daniel flavi

    Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

    We unao huakika kwamba tuliaidi kumalizia deni?!
  7. Daniel flavi

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Ukiniuliza nimsifie magufur wapi ntasema economically, social kajitaidi xna tena xna pongezi kwake , kakosa tu washauri tungekua mbali xnaa maana siamini kama yeye anaweza akawa perfect % 100 but we would keep moving alekebishe kidgoo kwenye siasa hapoo ndo kidgoo naona panayumba ila mengine mh...
  8. Daniel flavi

    Chama cha ACT wazalendo kimemvua uanachama aliyekuwa mgombea wa Uenyekiti wa Mtaa wa Karikacha

    Unajua mm naona kama movie inaendelea sielewii au ntaelewaa uchaguzi ukiishaa
  9. Daniel flavi

    Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

    Kwan watu wanajua maana ya neno udikiteta kwa upanaa? Je pengo anajua maana ya neno idikiteta na je watanzania wanajua maana ya neno lenyewee?!
  10. Daniel flavi

    Kardinali Pengo: Wanaomuita Rais Dikteta wajitafakari upya. Je, watoto kusoma bure na kujenga Hospitali ni udikteta?

    Mm nafikili maana ya neno udikiteta bado haijulikani vizuri hata pengo akaitafute asome aelewee aanze kuongea vizurii
  11. Daniel flavi

    Kila kitu anafanya Rais Magufuli, wengine kazi yenu ni nini?

    Kuna siku nilimwambia magufuri akiondoka madarakani kuna haja ya kukiweka chama kingine madarakani maaana naaamini hawa washiliki wake watatugeuka na kitutudisha enzi zile za nyumaa
  12. Daniel flavi

    Anguko la Upinzani nani alaumiwe?

    Mm binafsi uwaga najiuliza kwann upinzani nchi za kiafrika unakuepo hata baada ya uchaguzi yaan unakuta wapinzani bado wanakiwasha hata baada ya uchaguzi kitu ambachoo ni tofauti na wenzetu wa magharibi xaxa najiuliza maswali haya , viongozi wanaoingia madarakani wanafanya xna makosa mpaka...
  13. Daniel flavi

    Anguko la Upinzani nani alaumiwe?

    Mm binafsi uwaga najiuliza kwann upinzani nchi za kiafrika unakuepo hata baada ya uchaguzi yaan unakuta wapinzani bado wanakiwasha hata baada ya uchaguzi kitu ambachoo ni tofauti na wenzetu wa magharibi xaxa najiuliza maswali haya , viongozi wanaoingia madarakani wanafanya xna makosa mpaka...
Back
Top Bottom