thegeniustzda
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 211
- 358
View attachment 1267527
Chama cha ACTwazalendo kimemvua uanachama aliyekuwa mgombea wa Uenyekiti wa Mtaa wa Karikacha, Manispaa ya Moshi, Prophil Shayo kufuatia kuendelea na mchakato wa uchaguzi licha ya chama hicho kujitoa. Shayo tayari amewasilisha barua kwa msimamizi wa uchaguzi baada ya hatua hiyo.
Chama cha ACTwazalendo kimemvua uanachama aliyekuwa mgombea wa Uenyekiti wa Mtaa wa Karikacha, Manispaa ya Moshi, Prophil Shayo kufuatia kuendelea na mchakato wa uchaguzi licha ya chama hicho kujitoa. Shayo tayari amewasilisha barua kwa msimamizi wa uchaguzi baada ya hatua hiyo.