Amna kosa kubwa mtu unaloweza kufanya kwenye mahusiano au ndoa kama kucopy formula ya mtu mwingine kwenye mahusiano yake ukaileta kwako. Kuna msemo wa kitaalamu unasema "kama inafanya kazi kwa wengine, haina maana itafanya kazi na kwako." Kwa case yako ni kwamba kama njia ya makofi inafanya kazi...
ni wengi sana huwa nawaskia wanamlalamikia, na malalamiko ya aina hii wanayajua fika. Kinachonishangaza ni yeye kuendelea kua front desk pale baada ya malalamiko ya kila siku ya wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule dada mfupi mweusi ana dharau sana, kanajiona kekiii kenyewe, kumbe kabovu tuu. kama ulivyosema ishu ya dakika 0 tuu anakugandisha pale kama hakuoni yani. Itakua analiwa na meneja wa lile tawi, ndo maana analeta dharau bila kuwajibishwa. kuna siku nimechoka zangu akaniletea za kuleta...
Mkuu nilisema wanahitajika kwa maana ya kua kada ya afya kwa ujumla wake ni moja kati ya kada muhimu jeshini, ndo maana karibu kila mwaka huwa wanaitwa. Kwa jeshi kada ya afya haiwezi kua sawa na kada kama ya uchumi labda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua ni fursa nzuri kwa vijana kuingia moja kwa moja jeshini bila hata kupita jkt. Wenye fani hizi wanahitajika sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye fani za afya wakiwemo wafamasia, kuanzia ngazi ya diploma kama sikosei walioko mtaani wenye miaka chini ya 28 waliitwa kusailiwa na jeshi mwezi uliopita. Walijitokeza maelfu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.