danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
ni wengi sana huwa nawaskia wanamlalamikia, na malalamiko ya aina hii wanayajua fika. Kinachonishangaza ni yeye kuendelea kua front desk pale baada ya malalamiko ya kila siku ya watejaYule hana uwezo,trust me
Huenda ukifatilia utakuta aliletwa na kimemo
Crdb ni benki yangu,naikubal sana so nikikutana na kilaza mmoja anayefanya niichukie nakwazika sana
Crdb jirekebishe
Huyu binti hapaswi kuwa hapo front desk, ni kilaza ,anafanya wote muonekane mnabahatisha kazi zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app