BBA3, mwanadada wa kitanzania ameenda kututia aibu, na afadhali ametoka mapema
BBA2, pamoja na kwamba wengi mnaona Mtanzania kashinda lkn ukweli ni kwamba maadili aliyoyaonesha huyu jamaa ni aibu tupu kwa Watanzania. Richard alikuwa Mme wa mtu kwanza , akaenda kufanya mambo ya ajabu na demu...