Recent content by Danda

  1. D

    Jina la mtoto...

    Tatizo wanaume hupenda kuwa too dominance katika maamuzi, Jina la mtu wa film sijapenda kwa upande wangu, ila kama kumetumika mchakato wa kupata jina si kitu kibaya. Mfano, mahali, kitu, event au hali yoyote ile. Nilipopata mtoto, kipindi nikiwa preg. nilikaa muda mrefu kupanga jina na...
  2. D

    Ipi tamu kwa wote? (he&she)

    What I have notice ni, huyo she si mtu unaye mfill kivile, either mgombea mwenza ila si msataafu..... If u real fill somebody and love the most, it could nob be easy or suits you kumuanika that much, so huyu ni wa kupita. Angekua wa ukweli, these days mambo hadharani, na mnaweza ambiana hata...
  3. D

    Tujifunze kuficha siri za majumbani mwetu

    Imetulia saaaana darling!!!! Tatizo ni hawa wandugu zetu wa kiume, wa .com.... sijui ni tabia au maturity, Hupenda kutoa siri zao nyingi saaaaana kwa wanaowaamini marafiki, na mbaya zaidi wa kike, Naamini wakikua wataacha....
  4. D

    Wanaume wahuni na mapenzi

    aisifiaye mvua, ashawahi myea huyooo.....
  5. D

    Unafanyaje ukifumania?

    Kama ni small house kwa kumaanisha nyumba ndogo, huna jinsi zadi ya kula ganzi na kusongesha gurudumu la maisha kwa familia yako... Means Ukomeeeeeee.... Pata picha ingekua umefumaniwa na mkeo, ungetaka akufanyaje.... But if its a marriage couple, hakuna haja ya kupani, Tafuta chanzo cha mkasa...
  6. D

    Maoni yenu wakuu

    Inaitwa maumivu ya kisaikolojia ympatayo rafikiyo, na asipopata ufumbuzi ataingia kwenye ugonjwa wataalam wanauita Syndom of Eksesiv thinking.... There4 hana jinsi, Nakumbuka kuna mtu aliwahi kunifanyia kitu ambacho kiliniumiza saana, nilitamani kumwambia ila on process huyo mtu akafariki...
  7. D

    Naombeni Msaada

    Pole sana mpenz wangu, Ndio mambo ya dunia hayo, wanasema hujafa hujaumbika na mshkuru maulana kwa kila jambo. Kiingereza wanasema you can not fight agaist nature, na ni mara chache saana tabia kubaduruka. Opra anasena we need to say no to the Altar, if you real need an inner peace to a life...
  8. D

    Utamu wa kukolezwa/kukolea nje....

    Nimekusomaaaaaaaaaaa...... Thank you comrade.....
  9. D

    Eti supu ya pweza au nyama yake inasaidia nini?

    Mahanjaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam!!!!!!
  10. D

    Naombeni Msaada

    Pole sana mpenz wangu, Ndio mambo ya dunia hayo, wanasema hujafa hujaumbika na mshkuru maulana kwa kila jambo. Kiingereza wanasema you can not fight agaist nature, na ni mara chache saana tabia kubaduruka. Opra anasena we need to say no to the Altar, if you real need an inner peace to a life...
  11. D

    Utamu wa kukolezwa/kukolea nje....

    Thanks Killo, Prob ni pale mwenza wako anapokuwa si mwelewa na mwepesi wa hasira pindi uhitajipo kuridhishwa au kuridishana, wakati mwingine huanza kukufikiri tofauti pale uanzapo kueleza hisia zako na jinsi uwezavyo kuridika.... Ila pole pole ndio mwendo. Shukrani.
  12. D

    Utamu wa kukolezwa/kukolea nje....

    Mara nyingi wanamahusiano hasa wanandoa hupata wakati mgumu pindi mmoja kati ya wawili hao anapoanza mahusiano ya mapenzi nje ya mpenziwe..... Hivi kunani jamani....au ni kufuata tu mkumbo?!!!! Maana hata yule wa nje mwisho wa siku huwa naye pia wa 'nje' Msaada wa kung'amua hili wapenzi...
  13. D

    Kibanda: Naliona anguko la Zitto Kabwe!

    Kama msoma nyakati na mwanasiasa mkereketwa, jicho langu linaona mbali.... Ni wazi kijana mwenzamgu wa jinsia ya Kiume kwa jina la Zitto Zuberi Kabwe hana lengo la kurudi tena mjengoni..... He is now an Icon tinapozungumzia siasa za Tanzania, Ni mpiganaji thoough alitaka kuelekea kuyumba...
  14. D

    Mwanamke/mwanaume kufika Kileleni, vizuizi ni hivi...

    Job iz zea!!!!! Aduido....
  15. D

    Mwanamke/mwanaume kufika Kileleni, vizuizi ni hivi...

    Utamu wa mavi2z a.k.a Mso ni mapishi, na raha ya utam ni mapishhhhh au sio..... na mlo ukizidi sana, shurt kuvimbiwaaaaa..... kwani wataka ligi weye?!!! Au mchubuko.....!!!! Jiache uvinjari starehe...ukiona wakaribia kituoni sinzia upitirize then razma utakuwa na haja ya kurudi to ur orijino...
Back
Top Bottom