Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,314
- 7,730
Wahishimiwa, jana kuna mshikaji wangu mmoja alinifuata na kuniambia ishu fulani hivi, ishu yenyewe anasema imetokea kama miaka 3 iliyopita, ila kwa muda wote huo alikuwa anajiuliza bila kupata majibu. Binafsi nilikosa jibu, so ikabidi nimwambie nitajaribu kutafuta jawabu. Ishu yenyewe ni hii.
Siku mmoja rafiki yake huyu rafiki yangu alimpigia simu na wakawa wanaongea, just a salamu, then baadaye akasema amemuona baba yake maeneo fulani akinunua nyasi za ng'ombe, jamaa alikuwa akimwambia as friend na wala hakua na nia mbaya. But huyu rafiki yangu akapata maswali mengi sana, kwani kwao hawana ng'ombe wala mbuzi, halafu kusema kuwa labda ametumwa na bosi wake ni kitu kigumu kuingia akilini kwani baba yake ni vice chairman of one of the Company. So anahisi baba yake ana nyumba ndogo. So jamaa amekaa na swali hilo kwa muda mrefu, akitaka kumuuliza baba yake, anashindwa pa kuanzia, pia akitaka kwa mama yake anaona huenda akazua tatizo.
So waheshimiiwa naombeni mchango wenu, ninyi mnafikiriaje kwani mshikaji amekaa nalo,but limemshinda.
Siku mmoja rafiki yake huyu rafiki yangu alimpigia simu na wakawa wanaongea, just a salamu, then baadaye akasema amemuona baba yake maeneo fulani akinunua nyasi za ng'ombe, jamaa alikuwa akimwambia as friend na wala hakua na nia mbaya. But huyu rafiki yangu akapata maswali mengi sana, kwani kwao hawana ng'ombe wala mbuzi, halafu kusema kuwa labda ametumwa na bosi wake ni kitu kigumu kuingia akilini kwani baba yake ni vice chairman of one of the Company. So anahisi baba yake ana nyumba ndogo. So jamaa amekaa na swali hilo kwa muda mrefu, akitaka kumuuliza baba yake, anashindwa pa kuanzia, pia akitaka kwa mama yake anaona huenda akazua tatizo.
So waheshimiiwa naombeni mchango wenu, ninyi mnafikiriaje kwani mshikaji amekaa nalo,but limemshinda.