Point noted hakuna anachokisema kinacho relate na kanisa la kilokole de problem is with ur wife's MInd wat is to be done ni kutibu ufahamu wake ajue kila jambo linawakati wake sio kanisa na hakuna kanisa linalofundisha mwanamke asitandike kitanda au amlee mwanao ipasavyo ila mkeo hajui kutoa...
The same as bro saidi kilichoanzani ulaghai WE NENDA MWAMBIE UKWELI HUYO MAMA KUWA YAMEISHA MAHUSIANO YENU,EPUKA MAZINGIRA SHAWISHI KATI YAKO NA YEYE,IF POSSIBLE SHIFT FROM DAT AREA AS SAID ISHI WEWE KATIKA SHOE DA JAMAA UONE INAKUWAJE KUPIGIWA MKEO NEVERTHELESS LET UR CONCIOUS LEAD YOU TO...
Na bado na nchi imeshauzwa mkuu hapa kilichopo ni kumuomba Mungu katika bunge la katiba kujadili rasimu ya pili ya katiba wajumbe wavae uzalendo na mwishowe waweke matakwa ya Tanzania kama nchi na sio kupolitize the whole process ili tuwe na chombo imara kitakacho tu guide watanzania wote
Mweshimiwa Mbowe ni Charismatic leader fast of all second he is full of wisdom kiasi kwamba hata Wakati ambao anahutubia swala lenye kuhuzunisha,kuumiza,kuleta hasira still u will discover that the man hawezi tumia lugha ya kuuzi,kukera wala inayoweza kuleta vurugu,
Nikirejea hotuba zake...
Nyie magari yaliyokamatwa Arusha na Bagamoyo ya vyama vyenu yaliyokuwa na Silaha za Jadi Kama vile mapanga,marungu na sime walikuwa wanaenda kufyeka nyasi????????
Hahahahahahaha sioni hoja hapa umeongelea kichwa na tumbo,hutaki kuwa mkweli umebaki kuwa bias with regional barriers(tribes)acheni kuwa waswahili at least tuwe wazalendo hata Mara moja
Try to think beyond the political biased box that ur in sioni Hoja hakuna Million Kama hakuna Mia so hata 1% ni max and as far as uje tumia CDM kujilinganisha t means sisi ni role model wako
CDM fellow comrades we give you big up mmetisha wakuu safi sana makamanda namaliza kwa kusema if we need to live as liberals we need to make sure as intellects we r running as fast as possible in the realm of impossibilities to liberate our country
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.