Bado mnaoa single mother? Hao ni wakugonga tu nakuacha.watoto wabichi wapo kibao na wanataka kuolewa watulie na ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa. Mwanamke mlevi hana staha. Wanakua vulnerable sana muda wowote na mtu yeyote anaweza kumgegeda.kama mkeo ni mnywaji pombe usiruhusu akanywe bar au pub peke yake.
Nawashauri mlio kwenye ndoa au mahusiano serious mtulie na muwaheshimu waume zenu. Mtaani kugumu. Japo nimeoa lkn Hapa ninazo namba kama 6 hivi na 2 ni wanawake majirani zangu-hizi ni wakati wowote nikipiga tu tunakubaliana na game itachezwa
Kinachowaponza wanawake ni viburi. Midomo na ulevi. Mimi mwanamke mlevi na mvaa hovyo tena akiwa na wowo nitamtumia tu. Unakuta mwanamke anaongea lisauti la juu km anatangaza mkutano wa kitongoji mbaya zaidi kitandani hakuna kitu. Ukimgusa tu mara nimechoka.mara ngoja kesho au akikubali anaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.