SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Kumbe uwanja wa ndege wa KK umejengwa kama ndege! Waache waanze kulitia hasara shirika kwa kutowaamini marubani kuwa wasingeifikisha huko.Leo ndio siku rasmi ndege yetu imezindua safari ya Tanzania-Zimbabwe-Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.View attachment 1029194
Kwahiyo na wewe ndo wa chadema unayetegemewa!!? Ndo maana mmeishiwa kila kitu mmebakiza kuongelea personal life za watu.Huyu ndio think tank wa lumumba,hahahahaaaaa,hihaaa!
Hao labda ndio wasukumaji kama ilitokea dharura ni wengi.Waangalie hapoView attachment 1029263
Inabidi mtu ucheke tu!LB7 ni chaka linalodumaza akili za vijana,ukitoka hapo huna akili ya kujitegemea!Kwahiyo na wewe ndo wa chadema unayetegemewa!!? Ndo maana mmeishiwa kila kitu mmebakiza kuongelea personal life za watu.
hahahah acha uchokoziMkuu hili shirika limebadilishwa jina ama??
Hamna mtu ana muonea huruma mke wake ila hilo lilikuwa jibu la alimpa mtu mimba kosa asipompa kosa. Jaribu kutoa maoni yanayoendana na jibu siyo ilimradi umeandika. Pole bwana Bashite naona umekuja kivingine hayo yote maisha usikasirike, angalau wewe Ian uwezo wa kimpeleka wako kufanya IVF wenzako hawana mshukuru Mungu kwa hilo.Nenda akupe wewe mimba kama unamuonea huruma mke wake.
Dr slaa si ndio nyie mlimuwekea sumu kwenye wine leo mnam miss sababu yuko sisiemuNimeimisi sana chadema ya dr.slaa hii chadema iliyopo sasa,makonda asipompa mimba mke wake wanalalamika akimpaa bado wanalalamika yani shida tupu.
😂😂😂hiki kizazi naamini ipo miaka kiswahili kitapotea rasmKuhaibika ndiyo kufanya nini?
Leo ndio siku rasmi ndege yetu imezindua safari ya Tanzania-Zimbabwe-Zambia.
Ajabu wakuu wa mikoa Paul Makonda na Mrisho Gambo wameonekana wakisindikiza ndege hiyo, yaani gharama za kutoka Tanzania, Zimbabwe to Zambia kwenda na kurudi eti sababu kubwa ni kushuhudia ndege hiyo ikifanya safari ya Kwanza.
Hongereni wakuu wetu wa mikoa kwa uzalendo uliotukuka.
Picha wakiwa uwanja wa Keneth Kaunda Zambia.View attachment 1029194