Haya mambo ni kweli kabisa, nakumbuka yalinitokea mara kadhaa kila nikijaribu network haisomi na baada ya kuuliza nikajuzwa haya mambo. ( nilijihisi vibaya network kuwa G badala ya H+)
Kila siku Tanzania kwa nini!!!? Juzijuzi tu nilisikia wanafunzi wote eti wamepata mikopo kumbe ni uongo kabisa, naomba serekali imulike bodi ya mikopo kwa jicho la tatu (viongozi kusema uongo ni aibu kubwa kwa Taifa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.