Recent content by DALUNI

  1. D

    Wanaume ushawahi kukutana na mwanamke aliyefungwa sehemu zake kichawi? Pita hapa uone niliyokutana nayo ujifunze

    Haya mambo ni kweli kabisa, nakumbuka yalinitokea mara kadhaa kila nikijaribu network haisomi na baada ya kuuliza nikajuzwa haya mambo. ( nilijihisi vibaya network kuwa G badala ya H+)
  2. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Masasi kama uko tayari ili nisogee karibu na nyumbani
  3. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kama uko tayari uje Masasi Mimi nko masasi
  4. D

    Mume anahitajika 36+

    Kama umri umepungua kido?
  5. D

    Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Tanga raha na nimekumbuka mengi sana!!!
  6. D

    Ushauri: Tabia ya mke wangu kunidharau inaniumiza sana

    Muda wasasa sio wa kugombana bwana, acha moyo usukume damu na sio vingine!!! Fanya hela uliyo msomesha umetoa sadaka
  7. D

    Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?

    Mwanaume unamlisha chipsi na mayai ya kisasa unatarajia nini!!!? ila wanawake wengine usafi ni sifuri kabisa inashusha mzuka
  8. D

    Wanafunzi vyuo vikuu kutumbua jipu bodi ya mikopo

    Kila siku Tanzania kwa nini!!!? Juzijuzi tu nilisikia wanafunzi wote eti wamepata mikopo kumbe ni uongo kabisa, naomba serekali imulike bodi ya mikopo kwa jicho la tatu (viongozi kusema uongo ni aibu kubwa kwa Taifa)
  9. D

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Naomba na mimi mnichekie s0908.0014.2005
  10. D

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Msaada na mimi s0908.0014.2005
  11. D

    Natafuta mtu wa kupanga nae chumba Jordan University, Morogoro

    na mimi nmechaguliwa hapo!!!, kufungua lini kwani?
  12. D

    st.jordan university college

    Mmmm na mimi nimiongoni mwao, tujuzane kwa wale wazoefu
Back
Top Bottom