Huo ni ubwege 200% inashangaza sana m2 kuhukumiwa alafu unakutatanae kitaani. ndo maana tunataka katiba ibadilishwe ili rahisi apunguziwe madaraka km vile kusamehe wakosaji bila sababu za msingi.....mbona babu sea asamehewi..
Wenzangu mnaojitambua naomba msaada katika hili:
''waziri wa mambo ya ndani mh. Nchimbi kwa kupitia televisheni amesema kwamba ...Yule mwandishi wa habari wa channel 10 aliuwawa kwa bomu la machozi"
hii ni siasa ua ni nini?????????
Mdau kiukweli ni kwamba.....
Tanzania imeshaharibika ukiongea ukweli unatishiwakuuliwa kwa mfano ulichoandika wewe kipi sio sahihi.....maanake ni ushikaji kazini.....chapa mwendo mwanangu ukifa kama mwanaharakati hakuna shida tuko pamoja.....
Watanzania wenzandgu, samahani kwa usumbufu!
Swali langu ni moja tu, Hivi kuna faida yoyote tunayoipata sisi kama raia wa TANZANIA kutokana na safari za rais :A S angry:??????
ahsanteni sana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.