Kwani Warioba ana cheo gani Ccm?, kwa taarifa tu anaweza kujitoa ccm na bado akaendelea kupata stahiki zate kama PM mstaafu kwa mujibu wa katiba. Kitendo cha Warioba kuwasemea wanyonge mbali na kuwa na marupurupu lukuki!, ni uzalendo uliopitiliza.
Mdee alipofuatwa na wanawake kumshawishi agombee nafasi hiyo, alilia machozi. Nilijua wamemtia moyo kwa kutambua mchango wake kwa chama. Mdee ni mpambanaji asiyejali maslahi binafsi. Niliwahi kukutana na Mdee Katika kijiji kimoja huko Dodoma porini sana, kijiji ambacho tangu uhuru hakuna...
Mimi ni mtanzania nipo maeneo ya wilaya ya Mkuranga Pwani. Nimefanikiwa kumiliki shamba/jangwa la kuzalisha chumvi kwa njia ya jua katika maeneo ya pwani ya bahari ya hindi. Tayari nimesha kata leseni ya uzalishaji wa madii ya chumi katika ofisi ya madidi kanda ya mashariki.
Tatizo ni mtaji wa...
Sasa nimeelewa mwamba watawala wanauogopa uchaguzi wa Arusha. Sasa naanza kuelewa sababu ya bomu kurushwa Arusha siku ya mwisho wa kampeni. Ilikuwa ni kupata sababu ya uahirisha uchaguzi kwa kigezo cha kuto kutengemaa ka hajo ya usalama. Kama sababu ndio hii, basi haikuhitaji kugharimu maisha ya...
Tena siyo kwenda tu china,ni kwamba alikwenda alikwenda China kwa shughuli
za kijeshi ndo maana akapewa na vifaa vya kijeshi ikiwemo mavazi ya ya
jeshi la china. Red Army. Hivyo si ajabu miongoni mwa vifaa alivyo chukuwa ni pamoja na mabomu na risasi zilizokutwa mabaki take.
Wanasiasa jifunzeni kumwogopa Mungu, Tanzania ni masikini sana, siasa za vyama vingi zimeanzishwa ili kuongeza chachu ya maendeleo na si kutumia dola kutesea watu.
Pole Lwakatare, huo nao ni uzalendo siku Moja watakukumbuka ktk historia, kwamba walikutengenezea kesi ili kuhadaa wananchi na...
Pia ikumbukwe kwamba sisi ni tofauti sana na Kenya, katiba yetu kuwa na mambo yanayo fanana na Kenya haitatusaidia sisi wa Tanganyika kwani katiba ya muungano haina vipengere vya kulazimisha serikali wasirika kufanya au kufuata matakwa ya muungano na ndio maana sehemu nyingimu inaachia serikali...
Hap no wabunge wa kusimamia serikali ya muungano tu, bado kutakuwa na bunge la Tanganyika ambalo bill litakalo Somalia mambo yote ya Tanganika ikiwemo kukusanya kodi na kuwaletea maendeleo watu 40 milioni, hill la muundo wa Tanganyika tume imeliepa na haijulikani litafanyiwa nazi lini
Nikwamba, watu bawaelewi kwamba mambo yote yaliyo ktk rasimu hayahusu serikali ya Tanganyika, hivyo kama hatutakua makini, katiba ya Tanganyika ambayo ndiko kwenye umuhimu tutachakachuliwa. Muungano bila Tanganyika siyo dili, katiba ya kusimamia rasilimali za Tanganyika yenye watu 40milioni iko...
Kwanza, binafsi sikubaliani na jina la Tanzania bara,jina napendekeza jina la Tanganyika kwa sababu Jina la Tanzania linatokana ja muunano wa Tanganyika na Zanzibar. Hinyo kama mnapendekeza kuirudisha serikali ya Tanganyika iandikwe Tanganyika.
pili bado sijaelewa namna ya katiba ya hiyo...
Hotuba ya Sugu iwekewe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo kwa sabanu so rahisi kuwaambia ukweli watala bola hofu, waandishi WA habari endelezeni alipo ishia Sugu sasa
huyo mbumge ni mzanzibar, anajipendekeza, ma siku si nyingi mtamsikia kateuliwa serikalini au ccm, kuropoka na kujipendekeza ndio dili kwa ccm ya sass.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.