Kinana asafishika na tuhuma za uongo

Kinana asafishika na tuhuma za uongo

Mbona mnahangaika sana sana kujisafisha nyie wezi wa mali za uma?
 
wezi bana watahonga hata magazeti halafu watwana wao wataleta uzi wa kichovu hapa jf kutetea majangili, its disgusting!
 
Bado sijaona evidence kama kinana hapa hausiki na saga hili. Coz hapa naona anapiga story sijui wananisingizia coz ya ukatibu mkuu n.k. There is no way Kinana ataoka kwa hili. Ajiuzulu tu, kama uongo mbona wabunge wa ccm hawakuomba muongozo athibitishe uongo huo.
 
Kinana ni jangiri mwandishi anasema ameona document za interpool kumsafisha hataji nani kutoka interpool walichunguza interpool nchi gani ilichunguza na kwa vipi vietnam imekataa kutoa ushirikiano wakati tembo ni urithi wa dunia analindwa na umoja wa mataifa si wangelazimisha Vietnam washirikiane,
Wapi scanned document the citizen mbona hamjaiweka kwenye gazeti,Magazeti yenu yamepoteza credibility angalia mhariri wa mwananchi anaingia kutengeneza filamu ya ugaidi wa Lwakatare inabuma mapema
 
Bado hajatakata hats kidogo, kwa uchunguzi mdogo Tu, kati ya wachangiaji 25 mtk thread hii Wa mwanzoni, site wamekataa kukubaliana na uteteziwaks
 
Bunge liombe muongozo wa spika kwamba Mh Msigwa kalidanganya nunge na kambi ya upinzani ithibitishe waliyosma. Kinyume na hivyo Kinana wahi mahakamani. Press conference haikusaidii. Washauri wako wanazidi kukuweka uchi.
Wewe ni mutuhumiwa, sio msafi huminiki. Usicheze na akili za kizazi kipya. Uou are lost.
 
kweli nimeamini kuna watu wanapenda kusikia uongo tu..
 
Dah ! Kijana , kutafakari ni zaidi ya kusoma ! Sasa sijui nikudharau wewe au nilidharau hilo gazeti ? Hebu chagua Mwenyewe !
 
Kwa kweli bado hajasafika yeye na Chama chake cha CCM maana ni Mifisadi wa uchumi wa Wa-Tanzania
 
Dentist Kinana, hasafishiki hata kwa jiki; Jangili ni jangili tu................................
 
Sasa hapo kajisafisha nn?sana sana kafuta kinyesi kwe makalio af kimebaki choote mkononi...mbona hawatuelezi huyo mkongo ni nani zaidi ya kuwa na link na kinana
 
Back
Top Bottom