Mh, mara hivi mara vile!! Ili mradi akili za mwanadamu zikiachiwa kutengeneza mambo ya dini matokeo yake ni ''kusikika mengi''
Wakati tupo watoto hatuwahi kuhisi kuna siku wataamua na wao waoe, sasa zama zimebadilika.
HAYO MANENO YA KUROGA NI KWELI HUYO KONGOZI KATUMIA ? AU NI WATU WAMECHOMEKA? MIMI SIAMINI KAMA ATAKUWA AMESEMA HIVYO. KWA SABABU SERIKALI KWANZA HAIAMINI KTK UCHAWI WALA HAIFANYI KAZI KICHAWI , WALA HAIHITAJII MISAADA YA WACHAWI. ISTOSHE UTAMADUNI WA MAMBO YA KICHAWI NI UTAMADUNI TUNAOTAKIWA...
WAPIMWE DAMU ZAO HAO, INAWEZEKANA WANATUMIA POMBE AU BANGI. UNAENDA KUDOKOA IKULU!!!?????? AKILI ZAO HAZINA
AKILI ! KAMA NI KWELI WAPATIWE ADABU STAHIKI
HAYO MANYUKLIA KTK UKANDA WETU HUU WA EAST AFRICA HATUYATAKI KABISAA.
WAZUNGU WAO WANATAFUTA ARDHI YA KU-DUMP UCHAFU WA NYUKLIA, SASA LANBA HAO JIRANI WATAKUBALI. DAAAH ATHARI ZITAKUJA KWETU PIA DEFINATELY
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.