Recent content by Daizy

  1. Daizy

    Is water fasting real?

    Mkuu, inamaanisha hata usipokula kwa siku 20 kila kitu kitaenda kawaida??
  2. Daizy

    Is water fasting real?

    Hahaha... Haushit[emoji3] [emoji3]
  3. Daizy

    Is water fasting real?

    Wakuu, nimekua nikisoma forums nyingi huko google kuhusiana na hii kitu "water fasting"...kuna wengine wanasema mwanadamu hawezi kumaliza siku tano kwa kunywa maji tu atakufa. Wengine wanasema mwanadamu anaweza kukaa hata siku 60 akiwa anakunywa maji tu na asife! Je ukweli upo wapi hapa?
  4. Daizy

    Wanawake Sometimes

    Unatunza?
  5. Daizy

    Wanawake Sometimes

    Mpaka unipende manake nina matunzo asa kwa nini nikupe halafu usinitunze? [emoji17][emoji17]
  6. Daizy

    Waliopangiwa UDSM soma hapa itakusaidia

    Chumba kiko Mabibo au main campus?
  7. Daizy

    Chumba UDSM main campass kwa wasichana kinahitajika

    Dah... Nina barua ya ugonjwa nataka niipeleke leo.. Sasa najiuliza nipeleke kwa daktari kwanza au naipeleka kwa USAB manager kabisa?
  8. Daizy

    HESLB: Kuanzia mwaka huu wa masomo, wanufaika wote wa mikopo watakopeshwa kulingana na uwezo wao

    Aliemaliza form four 2013 anaanza first yr mwaka huu... Hayuko chuoni bado
  9. Daizy

    Umemsave vipi mpenzi wako kwenye simu yako?

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  10. Daizy

    HESLB: Orodha ya Majina ya Waliopata Mkopo (Awamu ya Kwanza) 2016/17

    Yani we jamaa... Full kuvunja mioyo ya watu.. Sijui ukoje[emoji20] [emoji20]
Back
Top Bottom